Wana JF
Kwanza nitoe salama zangu za pole kwa wahanga wote wa Ajali ya precisionairtz.com iliyotokea Bukoba.
Nimejaribu tu kuwaza kama hii ingekuwa ni ajali ya basi , tungeona haya tuliyoyaona leo . ? Thamani ya maskini wa Tanzania iko wapi.?
- Ajali nyingi zinatokea nchini hatujawahi kuona waziri mkuu kapanda Helicopter kwenda eneo la tukio
- Ajali nyingine zinatokea hatujawahi kuona ajali inapata airtime kama za ndege
- Ajali nyingi zinatokea, ubalozi wa Marekan hatujawahi kuona ukitoka pole nyingi kama za leo
- Ajali nyingi zinatokea, ila coverage ya taarifa kwa media za nchini na nje huwa sio kubwa kama za ndege
Ina maana hizi ajali nyingine hua sio ajali au wanaokufa huko huwa si binadam.
Kwanza nitoe salama zangu za pole kwa wahanga wote wa Ajali ya precisionairtz.com iliyotokea Bukoba.
Nimejaribu tu kuwaza kama hii ingekuwa ni ajali ya basi , tungeona haya tuliyoyaona leo . ? Thamani ya maskini wa Tanzania iko wapi.?
- Ajali nyingi zinatokea nchini hatujawahi kuona waziri mkuu kapanda Helicopter kwenda eneo la tukio
- Ajali nyingine zinatokea hatujawahi kuona ajali inapata airtime kama za ndege
- Ajali nyingi zinatokea, ubalozi wa Marekan hatujawahi kuona ukitoka pole nyingi kama za leo
- Ajali nyingi zinatokea, ila coverage ya taarifa kwa media za nchini na nje huwa sio kubwa kama za ndege
Ina maana hizi ajali nyingine hua sio ajali au wanaokufa huko huwa si binadam.