Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 752
- 320
Basi la tashrif linalotoka Tanga to dom limemgonga kijana aliyekuwa akiendesha bodaboda na kuacha njia kijana amefariki hapohapo dereva wa basi kakimbia,dereva wa basi alikuwa anaforce kuzipita gari ambazo zimesimamishwa kwasababu ya msafara akamgonga kijana.
Imetokea muda huu.
Imetokea muda huu.