Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 752
- 320
Mkuu mimi nilikuwa kwenye hii basi ila hawa madereva ni vitanzi vyetu nimestukia tupo mtaroniBasi la tashrif linalotoka dar to dom limemgonga kijana aliyekuwa akiendesha bodaboda na kuacha njia kijana amefariki hapohapo dereva wa basi kakimbia,dereva wa basi alikuwa anaforce kuzipita gari ambazo zimesimamishwa kwasababu ya msafara akamgonga kijana.imetokea muda huu.
Basi la tashrif linalotoka dar to dom limemgonga kijana aliyekuwa akiendesha bodaboda na kuacha njia kijana amefariki hapohapo dereva wa basi kakimbia,dereva wa basi alikuwa anaforce kuzipita gari ambazo zimesimamishwa kwasababu ya msafara akamgonga kijana.imetokea muda huu.
Difu ya mbele?, Au front excelView attachment 2001008
Dogo wa bodaboda kanasa chini ya difu ya mbele hapo mguu umenasa kwenye tairi la julia kwa dereva
Asante kwa masahihishoDifu ya mbele?, Au front excel
Kafa bodaboda picha kuna mdau kazirusha mkuuPicha, picha picha, ongezea nyama nyama kidogo! majeruhi, vifo nk!
Picha plzBasi la tashrif linalotoka dar to dom limemgonga kijana aliyekuwa akiendesha bodaboda na kuacha njia kijana amefariki hapohapo dereva wa basi kakimbia,dereva wa basi alikuwa anaforce kuzipita gari ambazo zimesimamishwa kwasababu ya msafara akamgonga kijana.imetokea muda huu.
Entre BienAsante kwa masahihisho
Wameshamtoa qafra kijana wa watu. Damn!
R. I. P