Ajali za kufunga mwaka na kufungua mwaka uacha makovu makubwa ya moyo na nafsi kwa watoto.

Ajali za kufunga mwaka na kufungua mwaka uacha makovu makubwa ya moyo na nafsi kwa watoto.

Manton

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,163
Reaction score
1,523
Niliwahi kushuhudia familia ikipoteza baba na mama kwa wakati mmoja katika ajali ya gari wakiwa wanatokea kula Krismasi na mwaka mpya, kijijini kwao, wakati huo watoto wao wa pekee (mapacha), walikuwa wamebaki shuleni (skuli ya wazazi na walezi wenye kipato cha kati) wakifanya maandalizi ya kuingia darasa la saba, nao walirudishwa mwezi huo huo wa Januari kwa kukosa ada. Funzo: kesho ina mengi sana yasiyotabirika kirahisi rahisi.
 
Ajali zipo kila siku mwisho wa mwaka movement inaongezeka tuu hata wasiosafiri wanaendesha ndio wanao ongeza hizi ajali.
 
Niliwahi kushuhudia familia ikipoteza baba na mama kwa wakati mmoja katika ajali ya gari wakiwa wanatokea kula Krismasi na mwaka mpya, kijijini kwao, wakati huo watoto wao wa pekee (mapacha), walikuwa wamebaki shuleni (skuli ya wazazi na walezi wenye kipato cha kati) wakifanya maandalizi ya kuingia darasa la saba, nao walirudishwa mwezi huo huo wa Januari kwa kukosa ada. Funzo: kesho ina mengi sana yasiyotabirika kirahisi rahisi.
Acha kutisha watu ajari ni ajari tu hakuna ya mwisho wa mwaka wala katikati

USSR
 
punguza ujinga, hakuna ajali ya kufunga wala kufungua mwaka
 
Back
Top Bottom