Babuu blessed
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 1,362
- 490
Mbona sisiem waliendelea na shamrashamra za uzinduz wa kampeni igunga.kuweni na fikra pevu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu is Mwamvita not one of the alter ego of the company? Kwa hiyo wakati Vodacom wanamtumia wakati wa mema, kwa nini asitumiwe wakati wa mabaya?
Mbona sisiem waliendelea na shamrashamra za uzinduz wa kampeni igunga.kuweni na fikra pevu.
Mimi nadhani JF nayo ianzishe ka-utaratibu ka kuweka breaking news kwa mtindo huu wa kupitisha habari kwa chini, kunakuwa na toolbar then news zinapita ziki-scrollSiwalaumu Vodacom sana ila hawa TBC wanaoendeshwa na kodi yangu walishindwa nini kutuwekea uzi hata chini kuhusu msiba huu mkubwa? Nina hakika tangu saa kuminamoja asubuhi taarifa walikuwa nazo, na wanajiita 'UKWELI NA UHAKIKA '
Kulikuwa na sponsors 5
jiulize kwanini watu wameamua kuwabebea bango vodacom?
<br />Hivi anayeandaa miss tz ni voda? Yeye sio mdhamini tu kama ilivyo kwa ligi kuu ya soka tz?
....
....
Lakini kama nilivyosema kwenye post yangu ya nyuma, this is problem rooted in our society. Kumbuka jana kulikuwa sio tuu na Miss Tanzania. Kulikuwa pia na ufunguzi wa kampeni za kisiasa huko Igunga. Kulikuwa pia na michezo ya mbalimbali. Tunachukulia issues very lightly. All go down kuwa kama serikali ingekuwa imetoa tamko tokea mapema haya yasingetokea. Hata hivyo vyombo vya habari hasa vya bara vimechangia sana haya kutokea. Nilishangaa Zanzibar disaster was trending worldwide on Twitter lakini kwenye vyombo vyetu vya habari vya ndani ilikuwa kama halikuwa janga kubwa.
Kulikuwa na sponsors 5
jiulize kwanini watu wameamua kuwabebea bango vodacom?
<br />kwa sababu VODACOM wanaaminiwa zaidi ya Serikali<br />
<br />
kwa sababu Vodacom ndio waliokuwa wadhamini wakuu wa hili shindano<br />
<br />
kwa sababu kila likitokea janga Vodacom hujitia mstari wa mbele kuonyesha they can do better than wengine<br />
<br />
<img src="http://2.bp.blogspot.com/_ZS6VQcCp8kA/TS4pK53QilI/AAAAAAAACSU/Ijl_k3UKvBY/s1600/166475_138713066189316_100001518700636_233851_7906334_n.jpg" border="0" alt="" />
kuna mtu anazo twitter feeds za Mwamvita?
I'm curious kujua anasema nini
Lakini kama nilivyosema kwenye post yangu ya nyuma, this is problem rooted in our society. Kumbuka jana kulikuwa sio tuu na Miss Tanzania. Kulikuwa pia na ufunguzi wa kampeni za kisiasa huko Igunga. Kulikuwa pia na michezo ya mbalimbali. Tunachukulia issues very lightly. All go down kuwa kama serikali ingekuwa imetoa tamko tokea mapema haya yasingetokea. Hata hivyo vyombo vya habari hasa vya bara vimechangia sana haya kutokea. Nilishangaa Zanzibar disaster was trending worldwide on Twitter lakini kwenye vyombo vyetu vya habari vya ndani ilikuwa kama halikuwa janga kubwa.
VODACOM ndiye mdhamini mkuu na Mkuu wa masuala ya misaada ya Kijamii Mwamvita Makamba alikuwepo jukwaani, hawawezi kwepa lawama hizi they/you know this better...Being a main sponsor moja kwa moja unajivika FULL RESPONSIBILITY za kuwajibika na hiyo shughuli...
Ni kweli mkuu tatizo limeanzia kwa serikali kushindwa kushughulika vema katika kutoa taarifa na mwongozo katika wakati muafaka. Tunaweza kuilaumu Voda (na sponsors wengine) ama waandaji wa shindano lenyewe (au hata wengine walioendelea na starehe zao kama kawaida kwa siku ya jana), kwa kutokuwa 'sensitive' lakini kuwaadhibu nadhani itakuwa ni kuwaonea. Kwa mfano ni vigumu kwa kampuni kufanya maamuzi kama ya kujitoa kudhamini fainali ya mashindano katika siku ya mwisho bila ya kuwepo kwa tamko/taarifa rasmi ya serikali.