Ajali ZNZ: Vodacom waanza kugomewa



Huyu Zito hana lolote l alikua Znz kusighn madili na Ako yake Kina Mkono, asijifanye kuwa na uzuni,
 
Zitto Kabwe kumbe huko cynical kiasi kaka mkubwa, jaribu kufikiri kuhusu mikataba na gharama zilizotumika siku hiyo, tunataka tuone uzembe uliofanyika huko zanzibar unachukuliwa hatua, hebu kumbuka ishu ya uwanja wa taifa na meneja mpaka leo kuna nini? mikataba mibovu ya umeme, trl, hizo meremeta na nyingine zishughulikiwe kwanza kabla ya kuanza kukurupuka na kulaumu watu wengine.
 
hakuna jinis ya kukutofautisha kama zitto au zitto politician, hii inamaana ukiwa kama mwanasiasa huwakilisha hoja za uongo mahali unapokuwepo ndo maana unataka jamii ikutofautishe.
 
Hizi ni njama za usalama wa taifa kuziepusga Serikali za CCM na aibu hii, VOdacom kama mdahamini nahusika vipi? Mbona ukumbi ulijaa waliojaa humo walitoka Afrika Kusina au Tanzania? Kama kweli watanzania wangekuwa na majonzi viti vyote ukumbini vingekuwa vitupu. Tujadili chanzo cha ajali na namna uokoaji ulivyofanyika kiasi cha kupoteza uhai wa watu wengi sana. Boati zilizoenda kuokoa watu ni za watu binafsi na watalii wapi zilikuwa boti za jeshi, Polisi na Serikali za pande zote tokea saa saba usika hadi boti za watu binafsi zinze kuokota watu. Haya ndio mambo ya msingi amabyo Mhe Zitto kwa kutumiwa na uslama wa taiafa anataka tusiyajadili na kuyatafakari.
 

UZEMBE ULIANZA HAPA HAP DAR SUMATRA WASITAKE KURUKA
[h=1]Zanzibar ferry disaster: Scores die, many more rescued[/h] Click to play






Captain Neels van Eijk from Whirlwind Aviation flew out over the ocean to help search for survivors and describes what he saw to the BBC

Continue reading the main story[h=2]Related Stories[/h]
At least 187 people have died after an overloaded ferry sank off the Tanzanian island of Zanzibar with at least 800 people on board.
A government spokesman said 620 survivors had been rescued. Three days of mourning have been declared.
The MV Spice Islander was travelling between Zanzibar's main island, Unguja, and Pemba, the archipelago's other main island - popular tourist destinations.
It is thought to have capsized after losing engine power.
Rescue efforts were hampered by the fact that the overloaded boat had capsized at night.
The ship had been bringing people back from holiday after Ramadan, and had reportedly stopped earlier in Tanzania's commercial capital, Dar es Salaam.
The authorities are struggling to cope and have asked for foreign help.
The Zanzibar government has set up a rescue centre and called upon all reserves to join the rescue effort. It has also called for support from other countries, such as South Africa and Kenya.
Washed ashoreThe survivors were ferried by privately owned fast ferries and brought back to the main harbour in the historic Stone Town, Zanzibar police commissioner Mussar Hamis said.
"We are still receiving many bodies by truck loads," Dr Karim Zah of the Mnazi Mmoja Hospital in Zanzibar told Reuters news agency.
Those rescued were brought back to the main harbour in Stone Town
"The death toll will likely be much higher."
Dozens of soldiers carrying bodies to shore dotted the white sand beaches at the northern tip of Zanzibar island where thousands of people anxiously awaited news of survivors, the agency adds.
Catherine Purvis, a British tourist in Zanzibar who was waiting for a ferry to take her to Dar es Salaam, says she saw lots of bodies being brought out of the water.
"I'm standing at the port in Zanzibar with about 10 other British and American tourists," she said.
"Our ferry has been delayed as they're using all ferries to rescue the people from the ship.
"People are being carried across in front of us on a drip. There are lots of body bags."
Holding onLocal helicopter pilot Captain Neels van Eijk flew over the disaster area.
"We found the survivors holding on to mattresses and fridges and anything that could float," he told the BBC.

"By then, there were a few boats that had made their way out. They were looking for survivors, but although the sea wasn't so rough, the waves were high so it was difficult for them to spot them.
"We flew to the boats and guided them to the survivors so that they could pick them up. There were also quite a few bodies in the water."
The ferry left Unguja at around 21:00 (19:00 GMT) and is said to have sunk at around 01:00 (23:00 GMT).
One survivor, Abdullah Saied, said the ferry had been heavily overloaded when it left Dar es Salaam, and some passengers there had refused to board, the Associated Press news agency reports.
 
Acheni hizo.. Voda hawana kosa.. Hao wazenji wameacha kuwakamata SUMATRA wameamua kupigia promo Zantel!
 
dah! Inackitisha sana, yaani TBC walikuwa wanaonesha muziki? Habari zenyewe nlizipata Aljazeera na PressTV. Badala tv ya taifa itumie pesa za walipa kodi kuprovide habari wanafanya upuuzi tu. Yaani nlikasirika kupita kiac.
 
That was an accident, albeit manmade, but an accident all the same. It's not unique to Zanzibar and it could have happened at any place that doesn't have any regulations or that doesn't enforce its existing regulations.

As to what other folks would think about it, if they choose to believe in a 'curse' so be it, that's their prerogative. Why judge from a far and write off the entire country or region based on an accident? That to me is ignorant. I would recommend that visit and see what VTL has to offer then form an opinion about it based on facts. Or better yet, why don't you school them on the great things VTL have already financed and sponsored. Be an ambassador for your country!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…