Ajax FC (AFC) Special Thread

Ajax FC (AFC) Special Thread

Ila jana kipindi cha pili waliniogopesha. Spurs walikuwa wanashambulia sana nikajisemea Son angekuwepo angewafunga. Ila all in all Ajax wanasakata kabumbu zuri sema umaliziaji pia unasumbua kidogo. Maana muda mwingi wanachezea kwenye goal la team pinzani. Jana kipindi cha kwanza ni kama Onana alikuwa likizo.

Away wataenda kuchapwa nyingi...

Final B-A....
 
Mkuu
Naona wanataka kuyarudia yale yaliyofanywa na kaka zao msimu wa 95 km sikosei... Ajax ile ilikuwa na vipaji vikubwa km ajax hii ya sasa, wana chemistry nzuri mnoo.. Tatizo lao umaliziaji, wana utoto mwingi kwenye finishing, nafasi 10 za wazi wanafunga 2..
Ajax ile ya mwisho ilikuwa moto ndani wamo
Edwin van de saar
Frank de boer
Ronald de boer
Edgar Davids
Nwakwo kanu
Clarence seerdorf
Marc overmars
Patrick kluivert!! N.k

Ambao wote walikuja kuwa masupastaa wakubw baadae hii inaonesha ni kiasi gani walikuwa na timu yenye vipaji vikubwa.. Kwa soka lao km angepita man city angewasumbua kwa Tottenham inawezekana wakapenya wakatinga fainali na wakaweza kuushangaza ulimwengu, vijana ni wapambanaji mnooo.. Ukiwatangulia goli moja ndio inakuwa kama umechokoza nyuki mchana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kaka zao ni baba zao cause kwenye kile kikosi DannyBlind baba wa Daley Blind alikuepo pia ukiangalia wastani wa umri wa wachezaji wa sasa ambao ni miaka isyozidi ishirini inaendana na muda ambao walichukua ubingwa mara ya mwisho 1995 ambayo ni zaidi ya miaka 20
 
Mkuu

Sio kaka zao ni baba zao cause kwenye kile kikosi DannyBlind baba wa Daley Blind alikuepo pia ukiangalia wastani wa umri wa wachezaji wa sasa ambao ni miaka isyozidi ishirini inaendana na muda ambao walichukua ubingwa mara ya mwisho 1995 ambayo ni zaidi ya miaka 20
Ni kweli mkuu uko sahihi kiongozi

Japo kwenye soka tumezoea kutumia kauli ya kaka/wakubwa wao.
 
Watu mnakazia UCL kwa nini msiangalir na reson nyingine umekamia moja EPL NI BORA
LIGI NGUMU
LIGI YENYE WASHABIKI IKIWEMO WW MBISH
LIGI YENYE WADHAMINI WENGI
LIGI INAYOKUFANYA KUONRKANA DUNIANI HATA UKIWA WATFORD SIO WW UPO ALAVES WANASUBIRIA GAME YA MADRID NA BARCA/ATLETICO NDIO WANATAZAMA TU GENOA NA ALAVES HAWATAZAMI
 
Mamaee waingereza mnanikera , mpira mbovu . To be honest this is the worst UCL final that I have ever encountered in my life , fuuck !
 
Back
Top Bottom