BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Ila jana kipindi cha pili waliniogopesha. Spurs walikuwa wanashambulia sana nikajisemea Son angekuwepo angewafunga. Ila all in all Ajax wanasakata kabumbu zuri sema umaliziaji pia unasumbua kidogo. Maana muda mwingi wanachezea kwenye goal la team pinzani. Jana kipindi cha kwanza ni kama Onana alikuwa likizo.
Away wataenda kuchapwa nyingi...
Final B-A....