BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Ila jana kipindi cha pili waliniogopesha. Spurs walikuwa wanashambulia sana nikajisemea Son angekuwepo angewafunga. Ila all in all Ajax wanasakata kabumbu zuri sema umaliziaji pia unasumbua kidogo. Maana muda mwingi wanachezea kwenye goal la team pinzani. Jana kipindi cha kwanza ni kama Onana alikuwa likizo.
Sio kaka zao ni baba zao cause kwenye kile kikosi DannyBlind baba wa Daley Blind alikuepo pia ukiangalia wastani wa umri wa wachezaji wa sasa ambao ni miaka isyozidi ishirini inaendana na muda ambao walichukua ubingwa mara ya mwisho 1995 ambayo ni zaidi ya miaka 20Naona wanataka kuyarudia yale yaliyofanywa na kaka zao msimu wa 95 km sikosei... Ajax ile ilikuwa na vipaji vikubwa km ajax hii ya sasa, wana chemistry nzuri mnoo.. Tatizo lao umaliziaji, wana utoto mwingi kwenye finishing, nafasi 10 za wazi wanafunga 2..
Ajax ile ya mwisho ilikuwa moto ndani wamo
Edwin van de saar
Frank de boer
Ronald de boer
Edgar Davids
Nwakwo kanu
Clarence seerdorf
Marc overmars
Patrick kluivert!! N.k
Ambao wote walikuja kuwa masupastaa wakubw baadae hii inaonesha ni kiasi gani walikuwa na timu yenye vipaji vikubwa.. Kwa soka lao km angepita man city angewasumbua kwa Tottenham inawezekana wakapenya wakatinga fainali na wakaweza kuushangaza ulimwengu, vijana ni wapambanaji mnooo.. Ukiwatangulia goli moja ndio inakuwa kama umechokoza nyuki mchana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu uko sahihi kiongoziMkuu
Sio kaka zao ni baba zao cause kwenye kile kikosi DannyBlind baba wa Daley Blind alikuepo pia ukiangalia wastani wa umri wa wachezaji wa sasa ambao ni miaka isyozidi ishirini inaendana na muda ambao walichukua ubingwa mara ya mwisho 1995 ambayo ni zaidi ya miaka 20
Sema usikikeshabiki nguli kabisa wa ajax amsterdam nipo hapa nikiwakilisha chama langu la taifa nililozaliwa
Ubaki ufanye nini tukutane mwakaniSema usikike
Warom niet?Mashabiki wa Ajax, Bongo?. πππ
Na ndio mwisho kweliUCL ikiisha na wakitolewa ndio mwisho wa hii thread. Mark my word
Ngoja tuoneUCL ikiisha na wakitolewa ndio mwisho wa hii thread. Mark my word
On our way to Madrid!