Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajitakia ...wee tulia mpaka siku unaumwa ndio wakwambie. Haya mambo ya kujipeleka mwenyewe ndio mwisho wake huoAmepanic
Haya tulitolea angalizo juu ya tabia ya kulazimisha watu kupima kabla ya kupewa huduma hospital za serikaliSophia Charles Odipo mwenye umri wa miaka 23 Mkazi wa Mseto amefariki baada ya kujinyonga chanzo kikiwa ni baada ya kwenda Hospitali kupima afya yake mara mbili na kugundulika ana maambukizi ya Virusi vya UKIMWI.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe amesema "Huyu Dada alijinyonga kwa kamba mpaka kufa chumbani kwake baada ya kwenda Hospitali na kugundulika ana maambukizi ya UKIMWI"
Millard
Sijakusoma hapa asisee.Fatilia statistics za umri unaobakwa sana na ukimwi
Amepanic
Mwisho ni figo na dialysis tu😅 utadundaje mzee wakati mwisho wa kifalaAlikosa tu mshauri, siku hizi ukigundua unalo, tuliza moyo, ikubali hiyo hali, nenda kapime CD. Fuata tu ushauri wa watoa nasaha, utadunda kama Kawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwisho ni figo na dialysis tu😅 utadundaje mzee wakati mwisho wa kifala
Umri wako tafadhali....mshahara wa dhambi ni mauti...
Hujamuelewa.So far hii ni moja ya comment ya kipuuzi ndani ya miaka hii mitatu
Kuwa makini,rahisi kuongea ukipata lazima ucheue bangiKajitakia ...wee tulia mpaka siku unaumwa ndio wakwambie. Haya mambo ya kujipeleka mwenyewe ndio mwisho wake huo
ohooMwisho ni figo na dialysis tu😅 utadundaje mzee wakati mwisho wa kifala
Mkuu Joanah jamaa yuko sahihi, huo ugonjwa haupo sema siyo rahisi kuelewa hili kwa sababu tuna ndugu zetu wamekwisha kufa kwa sababu za huo ungonjwa. Ila ukweli ni kuwa huo ungonjwa haupoSo far hii ni moja ya comment ya kipuuzi ndani ya miaka hii mitatu
Yawezekana hakupata pre na post counseling iliyoshibaAmepanic
🤣🤣🤣🤣 Sasa ukikutwa nao sii ndio unaendelea kugegeda vizuri bila condom mzeya...alafu ebu tuwe serious...ukimwi upo kweli? Au swaga za chuma hela tuuKujiua ni kujidhulumu nafsi yako,cha msingi ni kuishi kwa nidham kabla na baada ya kupima,ukute dada aliletewa na mme wake au vinginevyo....kupima ngoma kwa mara ya kwanza ni mtihani kama hujiamini,nilikuwa naogopa kupima waya wa umeme ila karibia na siku ya kuoa nikaenda natetemeka hospital kupima Alhamdulillah, kichwa kinakuwa kimejaa mawazo mengi baada ya kupima utaishi vipi ukikutwa nao,kama hauna roho ya uvumilivu na kukosa ushauri nasaha unajidedisha mapema tu.
Ukiulata sii ndio unagegeda vizuri maana hamna cha kuogopa tena hapo🤣🤣🤣🤣Kuwa makini,rahisi kuongea ukipata lazima ucheue bangi