Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,424
Unaeza kukuta alizaliwa nao. Tatizo wazazi wanaficha kuwaeleza ukweli watoto waliozaliwa na maambukizi hadi wanapokwenda huko mahospitali wenyewe ndo wanagundua mwishowe inakuwa ngumu kukubali hali halisi. wazazi tuwe wawazi kuwaeleza watoto km wana maambukizi itasaidia kupunguza vifo km hiv