Hii tuhuma inamhusu Waziri mkuu Majaaliwa mwenyewe maana alisikika bungeni akisema ajira hizi (5000) wamesha maliza kupanngia watu vituo vya kazi, watu tumesubiri watoe majina lakini mpaka dakika hii comment hii inaenda hewani hamna majina na mbaya zaidi Watanzania nasi tupo kimya. Hawa viongozi wanatuona wapumbavu ndio maana wanafanya wanachojisikia, ajira hizi ni haki yetu ya msingi kwa maana pesa za kutulipa tuwapo kazini hazitoki mifukoni mwenu (viongozi) ni kodi ya watanzania!!! Waziri mkuu tunaomba ufafanuzi juu ya ajira hizi zimeishia wapi?