Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Kwenye ELIMU hujachelewa mkuu unaweza soma hata OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA 😊Mimi nina kipaji cha mahesabu Economic
Yaani nilibidi nisome uchumi ningeisadia Sana nchi yangu Tz.
I can control money easily
Kwenye ELIMU hujachelewa mkuu unaweza soma hata OPEN UNIVERSITY TANZANIA 😊
kwenye mpira utaitwa SAIDOO (kazi na umri)
Namba (01) nilimkataza mwanangu, now ana miaka 17,nashukuru anapenda mpira hasa, na shule anasoma form 4Hello!
Naongelea ajira wazi kwa wazazi hadi sasa ambazo zipo wazi hadi sasa duniani kwa watoto wetu. Usimlazimishe mtoto wako apate A class ambazo hazina maana mbeleni maisha mwake; Cheki na hizi ajira huwa hazijai.
1. Boxing: Ajira hii kama unamuona mtoto wako anakipaji cha hii kitu anza kumfundisha mwanao. Boxing ni hela sana duniani kote hamna mchezo unafika hapa kwa hela.
2. Mpira wa miguu: Kama mwanao anakipaji na hii kitu mkazanie tu hamna namna hata PHD holder hafikii kwa mshahahara wa hawa jamaa. Na michezo mingine inatoa mshahara mikubwa n.b basketball.
3. Sanaa: Hapa namaanisha mziki, uagizaji na mambo mengi sana yapo ndani ya sanaa yana hela.
4. Ufundi: Hapa namaanisha kutengeneza bidhaa mpya kama kushona nguo n.k. Pia ufundi wa vitu ambavyo wa vitu vimeharibika kama tv, radio, phones, cars na mengineyo mengi.
Yangu hayo kama una la kuongezea ni bando lako tu karibu.
THE GREAT LOSS IN LIFE IS TO LET YOUR TALENT DIE WHILE YOU'RE STILL ALIVE- 2PAC OMAR SHAKUR
Kazi rahisi kwangu ilikua Ni mpira wa miguu Ila Mimi nili udharau mpira wa miguu
(namzungumzia miaka ya Zamani TFF ikiitwa FAT
Nipo kwenye udaktari kwa sasa😂😂 mpira ndio kazi rahisi kwangu na ndio kitu rahisi kwangu anayo yafanya KI AZIZ Mimi niliyafanya Sanaa..Lazima ujute sana.
Kilimo kina process sio poa na ulozi humo humo5.riadha ukishinda mara moja tu wewe ni tajiri
6.kilimo
Ni kazi kugongagonga vibuyu na kurepu sio Mchezo mkuu!Hiyo sio Kazi ni mind game
SureNa usilazimishe mtoto wako pia apigane boxing wakati kipaji hana watamuua kwenye ulingo..
Hii sawa na uganga wa kienyeji!Beting ukiweka laki moja timu 3 gg over half time 1-2second half.unashinda milioni 50.
👆
jaribu hapo,ila sitaki lawama.
Mkuu, you’d be surprised jinsi kazi karibia zote ni mind games (at a certain level).Hiyo sio Kazi ni mind game
Juzi asbh nilikatiza uwanjani katoto ka less 9 yearsNa usilazimishe mtoto wako pia apigane boxing wakati kipaji hana watamuua kwenye ulingo..
Ile ajira kongwe kuliko zote ulimwenguni, ajira adhimu isiyohitaji vyeti mbona hujaitaja!? @maafisa utamu