Ajira ambazo zipo wazi hadi sasa Duniani kwa watoto wetu

Ajira ambazo zipo wazi hadi sasa Duniani kwa watoto wetu

THE GREAT LOSS IN LIFE IS TO LET YOUR TALENT DIE WHILE YOU'RE STILL ALIVE- 2PAC OMAR SHAKUR

Kazi rahisi kwangu ilikua Ni mpira wa miguu Ila Mimi nili udharau mpira wa miguu
(namzungumzia miaka ya Zamani TFF ikiitwa FAT)
FAT ilikuwa ya ovyo sna ashukuriwe Leodga Chila Tenga kabidilisha sana taswira ya mpira nchini.
 
Watu wangapi wamefanikiwa huko kwa viwango unavyoviongelea? Na wangapi waliofeli kufikia hivyo viwango? Ni aslimia 0.1 kati ya 99.9. Shule sio kupata kazi tu. Bali pia kuchochea ushindani. Kila kitu ni ushindani hapa duniani.
 
FAT ilikuwa ya ovyo sna ashukuriwe Leodga Chila Tenga kabidilisha sana taswira ya mpira nchini.
Umenikumbusha enzi zile kwenye wimbo wa ROMA MKATOLIKI_TANZANIA alipata kusema kwenye moja ya stanza zake..
""ALIE KUA DOCTA WA MIFUGO LEO VUUPU AMEKUA KATIBU WA SOKA""
Pia
WAGOSI WA KAYA WANA WIMBO WAO UNAITWA MAENDELEO NDANI YA SOKA walipata kuimba madudu mengi kipindi Cha FAT
 
Vipaji vinalipa sana ni vile kwa huku kwetu tunavichukulia poa sana.
 
Watu wangapi wamefanikiwa huko kwa viwango unavyoviongelea? Na wangapi waliofeli kufikia hivyo viwango? Ni aslimia 0.1 kati ya 99.9. Shule sio kupata kazi tu. Bali pia kuchochea ushindani. Kila kitu ni ushindani hapa duniani.
Namaanisha mtoto asome elimu ya darasani. Ila vipaji pia kama mwanao anacho mwendeleze na kipaji chake.
 
Zote ulizotaja zinahitaji skills, professionalism. Ajira ya wazi wazi ni moja tu kucheza p*rn
Ni kweli skills muhimu ila wengi wanazaliwa na hizi skills lakini tumeaminishwa skills moja tu kutoboa darasani.
 
Vipaji vinalipa sana ni vile kwa huku kwetu tunavichukulia poa sana.
Vijana wengi tena wadogo waliosoma hawana ajira au kipato cha kueleweka wengi wao wanasumbuliwa na vidonda vya tumbo au acid tumboni, sukari na pressure wengine wameingia kwenye ulevi mbaya na sugu madawa ya kulevya na kudanga. Hii ni baada ya kuja mtaani na kuona walichosoma ni kigumu sana kukiweka katika maisha ya kawaida.
 
Vijana wengi tena wadogo waliosoma hawana ajira au kipato cha kueleweka wengi wao wanasumbuliwa na vidonda vya tumbo au acid tumboni, sukari na pressure wengine wameingia kwenye ulevi mbaya na sugu madawa ya kulevya na kudanga. Hii ni baada ya kuja mtaani na kuona walichosoma ni kigumu sana kukiweka katika maisha ya kawaida.
Hakuna kazi ngumu kama kubadilisha ulichosoma kiwe pesa. Hali ni ngumu mno kwa wengi.
 
Back
Top Bottom