ambokileambakisye
Member
- May 18, 2023
- 27
- 38
Hii Ajira sasa imekuwa tegemezi sana kwa vijana na wengine wenye imani tofauti wakiamini ipo siku watakusanya kiasi cha pesa nyingi kupitia hii Ajira .
Hivi karibuni kwa asilimia kubwa zaidi za vijana mwanga wao ndo hii Ajira ambayo imekuwa ikileta waumimini wapya kila kukicha na kuwafanya kuwa waumini wa kugalagala bila kuchoka au kujari ni kiasi gani cha mtaji kinacho watoka . Kwasababu ya ule uwezekano wa kuipata faida hiyo ya ghafla.
Imekuwa ni tegemezi mno la kimya kimya kwa kila muumini kuwa wenda nitajirimbikizia pesa kupitia hii Ajira mkombozi. Lakini kwa kuendelea na bila kukoma mwisho tumaini linapotea lakini imani ya tamaa bado inafanya kazi kuhimiza kuendelea kuamini ipo siku Ndiyo.
Hii Ajiri kuna baadhi ya watu imewakumbuka na kuwafanya vile walivyo Dhania awali ila kwa wengi ni bado hii Ajira aitimizi Ahadi sawa na vile kijana anavyo taka
●●○》》 Ushauri wako kuhusu hii Ajira ya "BETTING " Kwa vijana kama mwa jamii forum unaye zingatia faida za kiuchumi zaidi utazungumza nini kuhusu ukweli huu wa hii Ajira ni Mbinu gani itumike kuakikisha hii Ajira ina mpa kijana faida .
NB; Naomba tujikite tu kwenye faida na namna ya kuutumia vizuri hii Ajira au huu mchezo wa betting na siyo Harasa maana bado vijana awasikii tukiwapa madhara. Tuwatie moyo kwa kuwaelekeza kwa faida namna ya kunufaika na Mfumo. Ili wasi lie kila siku.
Hivi karibuni kwa asilimia kubwa zaidi za vijana mwanga wao ndo hii Ajira ambayo imekuwa ikileta waumimini wapya kila kukicha na kuwafanya kuwa waumini wa kugalagala bila kuchoka au kujari ni kiasi gani cha mtaji kinacho watoka . Kwasababu ya ule uwezekano wa kuipata faida hiyo ya ghafla.
Imekuwa ni tegemezi mno la kimya kimya kwa kila muumini kuwa wenda nitajirimbikizia pesa kupitia hii Ajira mkombozi. Lakini kwa kuendelea na bila kukoma mwisho tumaini linapotea lakini imani ya tamaa bado inafanya kazi kuhimiza kuendelea kuamini ipo siku Ndiyo.
Hii Ajiri kuna baadhi ya watu imewakumbuka na kuwafanya vile walivyo Dhania awali ila kwa wengi ni bado hii Ajira aitimizi Ahadi sawa na vile kijana anavyo taka
●●○》》 Ushauri wako kuhusu hii Ajira ya "BETTING " Kwa vijana kama mwa jamii forum unaye zingatia faida za kiuchumi zaidi utazungumza nini kuhusu ukweli huu wa hii Ajira ni Mbinu gani itumike kuakikisha hii Ajira ina mpa kijana faida .
NB; Naomba tujikite tu kwenye faida na namna ya kuutumia vizuri hii Ajira au huu mchezo wa betting na siyo Harasa maana bado vijana awasikii tukiwapa madhara. Tuwatie moyo kwa kuwaelekeza kwa faida namna ya kunufaika na Mfumo. Ili wasi lie kila siku.