Ajira katika TISS zitangazwe?

Ajira katika TISS zitangazwe?

Ujasusi ni kazi nzuri sana ukiwa nje, ila ukiwa ndani ndio utaijua vema.

Naupenda ila assignment zake ni majaribu, kwenye sinema za wenzetu huwa wanawaita "walking corpse"
 
Maafisa wa idara hiyo wapo kila kona, na amini usiamini, maafisa wengi wanachukuliwa mikoani kuliko jijini Dar !
Zamani walichukua shuleni. Umbwe,Tosa,Mzumbe,Tabora boys,Kibaha,Tanga school, Weruweru,msalato,kilakala.
Walikufuatila ulipoenda jkt ( mlale,makutopora,ruvu,mgambo)
 
Pia ifahamike kuwa kazi hii ina vitengo vingi pia, mfano:-

# majasusi- hawa kazi yao kuu ni kufuatilia mambo au watu kwa ukaribu sana iwapo wametiliwa shaka, wanaweza kujiweka karibu na washukiwa ( participatory observation) na kuishi nao na kuchukua taarifa zao zote na kuzituma kwa commanding manager ambaye naye huzifikisha kwa wakuu wa kitengo kwa upembuzi zaidi.

# makachero- hawa Mara nyingi huwa ni wadhibiti wakuu wa hali yoyote inayoweza kusababisha au kuathiri usalama wa nchi au taasisi mhimu za nchi, hufuatilia nyendo za washukiwa na iwapo wakijilidhisha pasi na shaka ( with no doubt) ndipo huchukua maamuzi magumu ikiwemo hata kuua ( yes, they've license to kill when the arena is alarming) mfano gaidi aliyepanga kushambulia Eneo X humalizwa papo hapo kabla hajatekeleza plan Y, Mara nyingi makachero huchukuliwa toka jeshini ( komandoo), police special forces, magereza ( prisons special task forces) na hufundishwa mbinu za kiupelelezi kisha kuanza kazi za usalama wa taifa ( tiss)

Itaendelea.......( ilikuwa trailer)
 
Hii kazi ni ufungwa wa hali ya juu sana kwani kama wewe ni A1 basi ukiwa kwenye majukumu yako hasa mhimu zaidi kutakuwa na A2 ambaye atakuwa anakufuatilia kwa siri sana bila wewe kujua ambapo naye atakuwa anatoa ripoti kwa meneja juu mienendo yako kwenye task unayoifanya, hii ni kwa sababu ya kuhakikisha haubadiliki au kurubuniwa kwa rushwa, itikadi ( dini, siasa, kabila n.k).

Hapa ndo pagumu kwa kachero ama jasusi kwani anakuwa hamjui anayemfuatilia, pia kifo ni nje nje iwapo ukagundulika upande wa adui au hata upande wa kitengo chenu iwapo utawasilisha taarifa feki au kushitukiwa na wenzako.

..........********........
 
Pia ifahamike kuwa kazi hii ina vitengo vingi pia, mfano:-

# majasusi- hawa kazi yao kuu ni kufuatilia mambo au watu kwa ukaribu sana iwapo wametiliwa shaka, wanaweza kujiweka karibu na washukiwa ( participatory observation) na kuishi nao na kuchukua taarifa zao zote na kuzituma kwa commanding manager ambaye naye huzifikisha kwa wakuu wa kitengo kwa upembuzi zaidi.

# makachero- hawa Mara nyingi huwa ni wadhibiti wakuu wa hali yoyote inayoweza kusababisha au kuathiri usalama wa nchi au taasisi mhimu za nchi, hufuatilia nyendo za washukiwa na iwapo wakijilidhisha pasi na shaka ( with no doubt) ndipo huchukua maamuzi magumu ikiwemo hata kuua ( yes, they've license to kill when the arena is alarming) mfano gaidi aliyepanga kushambulia Eneo X humalizwa papo hapo kabla hajatekeleza plan Y, Mara nyingi makachero huchukuliwa toka jeshini ( komandoo), police special forces, magereza ( prisons special task forces) na hufundishwa mbinu za kiupelelezi kisha kuanza kazi za usalama wa taifa ( tiss)

Itaendelea.......( ilikuwa trailer)
CIA&FBI wanaingia wapi kwa iyo trailer
 
Kwa maelezo yako napata kumbe FBI ni zaidi ya CIA
Yes! CIA wana operate kimataifa zaidi hasa kutafuta maslahi ya marekani lakini FBI wanapambana kufa kupona kwenye upelelezi na kufanya blocking of threat au counter threat tasks within the USA
 
Yes! CIA wana operate kimataifa zaidi hasa kutafuta maslahi ya marekani lakini FBI wanapambana kufa kupona kwenye upelelezi na kufanya blocking of threat au counter threat tasks within the USA
Marekani ana Agencies almost 17 zinazojulikana zote zipo chini ya boss wa DNI Director of national intelligence hizo CIA na FBI ni famous Agencies tu ila ni portion ndani ya Intelligence Community IC, Kwa pamoja wana duties zao independent na Kuna Joint operations ila kwa ambayo iko independent sana na Boss wao huripoti direct kwa Rais basi ni CIA ambayo ina deal na overseas intelligence
 
Siku hizi post za usalama wa Taifa zimeongezeka sana. Wadau kwanini?
 
Marekani ana Agencies almost 17 zinazojulikana zote zipo chini ya boss wa DNI Director of national intelligence hizo CIA na FBI ni famous Agencies tu ila ni portion ndani ya Intelligence Community IC, Kwa pamoja wana duties zao independent na Kuna Joint operations ila kwa ambayo iko independent sana na Boss wao huripoti direct kwa Rais basi ni CIA ambayo ina deal na overseas intelligence
Absolutely true
 
Godwin Chilewa Mzee upo? Heshma yako. Vitabu vyako vinapatikana wapi ukitoa Amazon? Kitabu cha raha ya dodo lisiwe dogo nacho kipo?
 
Hii kazi kama nchi yetu au yenu inaongozwa na watu wazalendo na wenye maono bora kabisa ya maendeleo ni kazi Nzuri sana. Lakini kama viongozi wenyewe ni wasiojiamini, wasio na vision zozote, wa ovyo tu, wapiga madili, wakujipendekeza Mara kwa wazungu Mara kwa waarabu Mara taifa sijui takatifu basi hii kazi inakuwa moja ya kazi za ovyo kabisa kufanya. Labda kama upo pale kujichezea chezea tu na kupasti time ukisubiri zako ustaafu
 
Back
Top Bottom