Ajira kugawanywa bara na visiwani, nafikiri kuna tatizo

Ajira kugawanywa bara na visiwani, nafikiri kuna tatizo

Asifikie hatua ya jiwe!
Mheshimiwa rais Mama Samia Suluhu Hassan ni mtu mstaarabu, mpole, mwenye upendo, huruma, mwenye maono, mtaratibu, muelewa, mzalendo, mnyenyekevu, mwenye busara, mwenye hekma, mpenda watu wake na Mcha Mungu.

Hawezi kuwa katili kamwe. Sisi Watanzania tunamuombea kila Leo atufikishe kwenye nchi ya ahadi.

Na ili afanye hivyo basi Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetu.
 
Mkuu

Hii system ilikuwepo kabla ya mama, toka enzi za Nyerere Hawa jamaa kupendelewa ktk ajira na umiliki wa ardhi pande zote mbili za muungano.
Sema tu hawa wajamaa wanapenda kudeka deka sana
Wazanzibari wanastahili so much kwa namna walivyopoteza so much kwa sababu ya Muungano huu.

Kila wanachopata kutoka kwenye Muungano, wanastahili sana. Tena bado wanaonewa.
 
Hapa tutapigana wemyewe kwa wemyewe sasa mamanke nini
Hakuna mtu ana muda wa kupigana. Sisi Watanzania tunamuunga mkono mama na tutampa ushirikiano katika kuijenga nchi.

Atakae jaribu kumkwamisha mama kwa kuanzisha vurugu au mapigano basi vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vitashughulika nae.

Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetu
 
Wazanzibari walipokuwa wakidai serikali tatu mlikuwa wapi?

Sio sawa kwa asiekuwa Mzanzibari kufanya kazi kwenye SMZ ila ni sawa kwa Mzanzibari kufanya kazi SMT. kwa sababu hio ni serikali ya Muungano na SMZ sio serikali ya Muungano.

Haya charukeni nyie saivi kudai mamlaka kamili, sie tukisema tunaitwa magaidi.
Wanajifanya wehu hawa. Halafu wanasema spika mwehu kumbe wehu wa kwanza ni wao
 
Wakati Chato inajengwa ulilalamika pia? Ukanda na ukabila ndiyo legacy aliyoacha Magufuli.
Bila kumtaja magufuli tako lako halipumui,
Zungumzia hoja na si magufuli.
Jambo hili lipo muda mrefu kabla ya magufuli ila sas linatumika kwa slogani ya jamhuki ya muungano hivyo tuvumikie tu au tutie ushauri na sio magufuli kama ndo alilianzisha.
 
Sajili lain ya uwakala wa mitandao yaan
Mpesa,halopesa, airtelmoney na tigopesa kwa majina yako

Malipo baada ya kazi[emoji736]
 
Bila kumtaja magufuli tako lako halipumui,
Zungumzia hoja na si magufuli.
Jambo hili lipo muda mrefu kabla ya magufuli ila sas linatumika kwa slogani ya jamhuki ya muungano hivyo tuvumikie tu au tutie ushauri na sio magufuli kama ndo alilianzisha.
Sasa unafikiri kuwa Magufuli kama Rais kama alikumbatia ukabila,ukanda,undugu hadi ubaguzi wa rangi,yanapotajwa masuala haya tutaacha kumzungumzia?
 
Wazanzibari wanastahili so much kwa namna walivyopoteza so much kwa sababu ya Muungano huu.

Kila wanachopata kutoka kwenye Muungano, wanastahili sana. Tena bado wanaonewa.
Mie bado naamini muungano ni faida kwa wote ukizingatia historia zetu, lengo ni kutuweka karibu zaidi na kuchanganyika kwa kuaminiana, sasa hakuna sababu kufikiri kuwa upande mmoja umepoteza zaidi!
 
Unafikiri kuitongoza Zanzibar ikubali muungano ilikuja kirahisi?

Kama unaona Zanzibar inakupunja basi wape nchi yao uone kama hawajarudisha hayo mambo waliyosacrifice kwa ajili ya muungano huu na hivyo kujitengenezea ajira za kutosha kwenye hayo mambo wao wenyewe
Tujitathmini kama muungano bado unahitajika au ni kichefuchefu tu kimebaki
 
Solution ni moja tu ama serikali moja na nchi moja au vunja huu muungano hauna faida kwa Tanganyika ni misifa tu aliyotaka Nyerere
 
Badala ya kutibu suala la msingi, kero za Muungano ambazo ni marekebisho ya katiba ya ama Zanzibar imezwe ndani ya JMT kama mkoa au Tanganyika ijitokeze kama mamlaka kamili...wao kutwa kutia viraka muungano uliopo

Katika hali ya kawaida tu, hakuna muingiliano wa kimahusiano ya moja kwa moja kati ya watanzania wa visiwani na bara...ndio maana ni watu wachache sana wa Bara wenye kukubalika Zenji, hata wale wenye asili ya Zenji waliozaliwa Bara hawana haki ya baadhi ya mambo wakirejea kwao ikiwemo hata kitambulisho cha ukaazi
 
Mheshimiwa rais Mama Samia Suluhu Hassan ni mtu mstaarabu, mpole, mwenye upendo, huruma, mwenye maono, mtaratibu, muelewa, mzalendo, mnyenyekevu, mwenye busara, mwenye hekma, mpenda watu wake na Mcha Mungu.

Hawezi kuwa katili kamwe. Sisi Watanzania tunamuombea kila Leo atufikishe kwenye nchi ya ahadi.

Na ili afanye hivyo basi Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetu.
Ok, nakubaliana nawe!
 
Mkuu

Hii system ilikuwepo kabla ya mama, toka enzi za Nyerere Hawa jamaa kupendelewa ktk ajira na umiliki wa ardhi pande zote mbili za muungano.
Sema tu hawa wajamaa wanapenda kudeka deka sana
Ni kweli,lkn kwa sasa huyu mzenji kuwa rais kwao ni fursa adhimu ambayo hawakuitarajia.Mambo mengi yalizikwa kimyakimya na wakawa wanaugulia kwa sababu za kuulinda muungano.

Na hawajawai kuwaza Tena km kuna siku mzenji atakuwa Rais wa JMT baada ya Mzee Ruksa.

Tutegemee reforms nyingi kufanyika kuifavor zenji.Angalia hata teuzi zinazofanywa Sasa.
 
Muuaji mkubwa wewe. Unapata wapi nguvu za kutetea ujinga??

Yaani wabara mmeokolewa kutoka kwenye lindi la mateso na shida mnapelekwa sehemu ya furaha na raha halafu mnamidomo mirefu kama ngurunyembe.

Bila Ustaarabu wa Kizanzibari mngeihama nyote Tanzania mmoja baada ya mwengine kama alivyofanya Lissu na Lema.

Muwe na shukurani
Huo ustaarabu wa kizenji ni upi Mkuu,ambapo bila huo ungetufanya tuhame nchi.Fafanua kidogo mkuu jinsi huo ustaarabu ulivyowaokoa Watanganyika.
 
Back
Top Bottom