Ajira kugawanywa bara na visiwani, nafikiri kuna tatizo

Wazanzibari wengi uwezo wao mdogo kuanzia mashuleni hadi kwenye ajira, huo mgawanyo wa ajira sawa mm siuafiki maana wataajiriwa watu wasio na uwezo kisa usawa wa ajira. Tumepigwa
 
Wazanzibari wengi uwezo wao mdogo kuanzia mashuleni hadi kwenye ajira, huo mgawanyo wa ajira sawa mm siuafiki maana wataajiriwa watu wasio na uwezo kisa usawa wa ajira. Tumepigwa
Mie binafsi naona ajira itolewe kulingana na uwezo!
 
Huo ustaarabu wa kizenji ni upi Mkuu,ambapo bila huo ungetufanya tuhame nchi.Fafanua kidogo mkuu jinsi huo ustaarabu ulivyowaokoa Watanganyika.
Mapenzi kwa wote, chukia dhulma na tenda yaliyo sawa bila kubagua.

Sasa niambie yule jamaa yenu si mngeishia kuhama tu nchi hii
 
Tunahitaji serikali moja. Visiwa vya unguja na pemba view mikoa. Na neno Muungano libaki kwenye kumbukumbu tu
 
Tuwaache watanzania wenzetu waje wafanye kazi bara kwanza idadi yao ndogo na ningeshauri teuzi za ma DC, RC, wakurugenzi nao wachukuliwe kuboresha zaidi muungano hakuna madhara yoyote mfano zile ajira za walimu katika ile idadi Zanzibar wangechukuliwa hata walimu mia kwao ni wengi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…