Ajira mpya hakuna, halafu hela mnakula wenyewe, Good God will pay you

Ajira mpya hakuna, halafu hela mnakula wenyewe, Good God will pay you

Samiaagain2025

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2020
Posts
3,626
Reaction score
3,869
Sisi wana wa maskini tuna miaka takribani 6 sasa mtaani bila ajira baada ya kuhitimu vyuo. Wanatwambia wanajenga uchumi imara kwanza ndipo watuajiri.

Kumbe kujenga uchumi ndiko huku? Mamilioni kwa Mabilioni kwa matrilioni, wametafuna. Sisi tunateseka mtaani bila ajira,huku HESLB nao wakituongezea zigo liitwalo retention fee.

Wanataka tuandamane?

Ila ngoja, Mungu wetu ni Mungu wa haki.

ATALIPA TENA.
 
Nasikia nchi ya ahadi yaja. Tukaze moyo
 
Wanaukumbi.

Serikali tuliiamini na tukavumilia mateso ya mtaani tukijipa matumaini makubwa kuwa mnaijenga nchi baadae mambo yatakuwa mazuri, kumbe fedha zinatumiwa hovyo, mlikuwa na uwezo wa kuajiri kila mwaka na kuongeza mishahara ila mliamua kubana ili hizo hela za umma na kufanya ufisadi kama ripoti ya CAG, inavyosema.

CAG anaonesha namna mabeberu wetu walivyokuwa wanaitafuna hii nchi, huku wamejificha kwenye kimvuli cha uzalendo.

Ripoti hii ya CAG imetuonyesha kuwa:
  • Tunahitaji taasisi imara na siyo fikra za mtu mmoja anayejidai imara
  • Tunahitaji wanasiasa visionary wanaojali maslahi ya muda mrefu ya Watanzania na vyama imara vya siasa.
 
Hapa bila katiba mpya tunapiga tu tarumbeta za bure!

Watu walikuwa wanapiga kelele hela zinaliwa watu wakabakia tu kusifu na kuabudu, Chato Inc and Suluma Gang, waliokuwa wanapata direct benefit!

Waliokuwa wanahoji wakaishia kutumiwa wasiojulikana na kupatiwa kesi za ajabu ajabu za uhujumu uchumi!

Siku zote, taasisi ikishaongozwa kwa kuficha ficha mambo lazima kuwe na uozo tu.

Kama mambo ni shwari kweli ya nini kutisha watu na kuficha taarifa badala ya kuziweka wazi ? Hizo hela si za wananchi kwann kuzificha.

Tumpe hongera Rais wetu na mama yetu Samia kwa kuanza vizuri kwa kuweka mambo wazi! Unapoweka mambo wazi ni rahisi kufahamu ni wapi penye uozo na kuparekebisha mapema.

Natamani sana mikataba yote yenye uozo iwekwe wazi! Waliohusika na matumizi haya yasiyofaa wawajibishwe pia!

Hapa ndipo tutatengeneza Tanzania yenye uwazi na imara katika rasilimali na matumizi yake kwa faidi yetu wote na si kwa kikundi cha watu fulani, au eneo fulani tu.
 
Hapa bila katiba mpya tunapiga tu tarumbeta za bure!

Watu walikuwa wanapiga kelele hela zinaliwa watu wakabakia tu kusifu na kuabudu, Chato Inc and Suluma Gang, waliokuwa wanapata direct benefit!

Waliokuwa wanahoji wakaishia kutumiwa wasiojulikana na kupatiwa kesi za ajabu ajabu za uhujumu uchumi!

Siku zote, taasisi ikishaongozwa kwa kuficha ficha mambo lazima kuwe na uozo tu.

Kama mambo ni shwari kweli ya nini kutisha watu na kuficha taarifa badala ya kuziweka wazi ? Hizo hela si za wananchi kwann kuzificha.

Tumpe hongera Rais wetu na mama yetu Samia kwa kuanza vizuri kwa kuweka mambo wazi! Unapoweka mambo wazi ni rahisi kufahamu ni wapi penye uozo na kuparekebisha mapema.

Natamani sana mikataba yote yenye uozo iwekwe wazi! Waliohusika na matumizi haya yasiyofaa wawajibishwe pia!

Hapa ndipo tutatengeneza Tanzania yenye uwazi na imara katika rasilimali na matumizi yake kwa faidi yetu wote na si kwa kikundi cha watu fulani, au eneo fulani tu.
Hapo kwenye mikataba yenye uozo ndio pa muhimu ila ndio chaka la kupigia hela! Penye uwazi patawepo maeneo yote ila sio kwa hapo kwenye mikataba hata aje malaika toka chadema au CCM wenyewe.
 
Nafikiri hawa ni wa kutafuta wawekwe hapa tuwajue walitaka aongezewe muda wa nini.

Most of them are Chato Inc and Sukuma Gang who had direct benefit from the regime!
Wabunge wote kuanzia kale kajitu kafupi chenye kichwa kama rungu.
 
Ripoti hazijaanza Jana ndugu
Ilikuwa Rotten regime under the song of Serikali ya Wanyonge, na Kweli Isingekaa ikatokea Kuongezeka Mshahara or New employement opportunies labda kufa mtu ili kuziba pengo. Daah!!! Tuliliwa Kimya Kimya Maana Media na Activitists Walinyamazishwa na Wakanyamaza. Daaah!!! Hiyo Hasara ya Mindege Ndio Funga kazi, Wakati huo huo Mh. Kigwa... nae alikuwaanafanya Mavituzi huko Maliasili na Utalii.
 
Kichere hana tofauti na Chikumbalaga anachoambiwa ndicho anachokisema. Akiambiwa sema Zuchu nakupenda anarudia maneno hayo hayo.
 
Back
Top Bottom