Ajira mpya hakuna, halafu hela mnakula wenyewe, Good God will pay you

Baba yako kasemaje?
 
Toka Cag atoe taarifa napata wageni wengi wakuwaagua wanakuja na yale magari makubwa meusi na vioo vyake vyeusi
 
Inakera Sana yaani😔😔😔nmejifunga mkanda miaka 6 nikiamini nawekeza kwa ajili ya vizazi vijavyo,kumbe pesa inachezewa na wanaojiita WAZALENDO!

Mama Samia tupandishe madaraja waajiliwa wa 2014 maana vichwa vinauma,pia usisahau kuongeza mishahara na annual increments,TUMEVUMILIA SANA,TUMECHOKA SASA!!
 
Kasema Mama yako leo aje nyumbani leo usiku mkiwa mmelala.
Ila meko aliwapiga sana kudadeki.
Ma UDA yote yake aliyafyekelea mbali
Hadi nasikia ulishindwa kulipa ada za watoto.
Inaabidi uchunguzi huru ufanyike nyie ndio mmepiga ndumba
 
Shangaa na wewe eti ajira milioni nane zilitengenezwa!
 
Watu wanajifunza kutokana na makosa yao au ya wengine.

Natumai wanafunzi wa sasa hivi wanajifunza hapa.
 
Jiwe nilimuona wa ajabu sanaa.

Kunyanyasa vijana kutoajiri huku akitoa ahadi hewa.
Bora aende tuu , hakuwa na faida yyte , unatengeneza ndege hewa bil 3 na ushehe, hasara mabill ya kutosha , malipo hewa mara kibao , mara ujenge uwanja wa ndege chato , alaf nyongeza ya mishahara hamna , ajira hamna , kwenye Kodi tunakabana koooo.... jamaa linatia hasira sana
 
kwa haya madudu, marehem anatakiwa afukuriwe atandikwe viboko na kabur lake linyewe juu
Anatia hasira basi tuu , alaf lilikuwa halitaki watu waseme , huyu jamaa wakat anaingia madarakani nilikuwa fan wake Ila kuanzia 2019 ndo niliona jamaa ni wa hovyo saana
 
Ila meko aliwapiga sana kudadeki.
Ma UDA yote yake aliyafyekelea mbali
Hadi nasikia ulishindwa kulipa ada za watoto.
Inaabidi uchunguzi huru ufanyike nyie ndio mmepiga ndumba
Tabia za mashoga utazijua tu unajifanya unanijua hahahahha.
 
Si tulikubaliana ni mabeberu wametuchezea sana jamani sasa mbona mnaanza kulalamikaaaaa
 
Tabia za mashoga utazijua tu unajifanya unanijua hahahahha.
Ila mwanangu punguza matusi.

Najua sio wewe hapa nakuzingua tu.
Ila hata kama sio wewe lakini meko aliwaweza sana.
Dingilee alimpigania akamuweka pale juu ila jamaa likawageuka.
Likageuka kila mtu.
Yaani hatutosahau.

Ila kiufupi long live mshua.
 
Kaka sijajua umesomea nini, lakini kwa ntu yoyote aliyesoma mambo ya biashara mfano uhasibu, masomo, uchumi n.k alikuwa anajua kabisa uchumi wa nchi tunauweka chini.

Sikuwahi kuuelewa utawala awamu ya 5 kabisa. Toka aingie madarakani jamaa hakuajiri kabisa, huku mtaani mpaka vyeti vinanuka.

Watoto zao wana vipato, sisi huku tunalia na hali ya maisha kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…