STAMBULI NURUDINI
Member
- Dec 7, 2012
- 49
- 4
our goverment is our excellencehii ni message niliyokuwa nimemtumia mheshimiwa waziri na sasa haya ndio majibu,niliwaambia vijana kuweni na subira hadi sasa saa nane kasoro usiku waziri ananihakikishia kesho ajira zinatangazwa walimu mtajua vituo,kama una shaka maswali niulize kupitia 0657846028 na tembeleeni nastaboy.blogspot.com
Nurdin Stambuli
mh. waziri pole na majukumu ya kazi za utendaji wa kuhakikisha unaboresha elimu nchini,nilikuwa nauliza ajira za walimu lini zitatoka maana mh.raisi aliahidi januari ajira zingekuwa tayari ila hadi leo feb 1 serikali hamtoi majibu,pia kwanini website ya wizara ya elimu imefungwa kwa kushindwa kulipiwa naomba ulisimamie hili mbunge wangu wananchi wanalalamika sana,na ni kheri kutoa tamko lini ajira zitatoka ili walimu hawa wapya wawe na ari katika ufundishaji.
from:www.nastaboy.blogspot.com
Tunashukuru mkuu,endelea kutupa updatesNashukuru sana wadau nimeshafika wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi na sasa kuna mkutano wa wafanyakazi wote baaada ya hapo ni waandishi wa habari na hapo ndio post zitapotangazwa nitaendelea kuwapa feed back
Nashukuru sana wadau nimeshafika wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi na sasa kuna mkutano wa wafanyakazi wote baaada ya hapo ni waandishi wa habari na hapo ndio post zitapotangazwa nitaendelea kuwapa feed back
Napokea simu nyingi wengi wakiwa hawaamini na kuona ni utani ukweli ni kuwa post zinatoka leo na hivi sasa kuna press conference ya wafanyakazi wa wizara wote hadi saa nne,tuwe na subra nitawajulisha wadau na nipo pamoja katika kuwapigania walimu
Zikitoka leo ntakupa zawad hata ya vocha. Wandish wote wangekua km wewe 2ngefka mbali