You got nil..
You know walla am sain
Kwa uandishi huo wa lugha ya 'Malkia' mwalimu utatuharibia wanetu huko maskulini ati...
Hehe he he he???
You got nil..
You know walla am sain
Kwa uandishi huo wa lugha ya 'Malkia' mwalimu utatuharibia wanetu huko maskulini ati...
Hehe he he he???
Hehehe... Lugha ya malkia hiyo
Do dexis ya keya....ajira bado mnawaza posho...mbona hamjadili kuhusu matumizi ya teacning aids mbalimbali au ndo pesa mbele kama tai.......tehteheh.....ajiraaa weeeeeeee
Jumapili kuwa mvumilivu mwalimu si unajua fedha za kusaidia budget zilikuwa zimezuiliwa
niliambiwa kwa mikoa ambayo mazingira ya kufanyia kazi walimu wapya upewa kianzia maisha cha Tsh 400000 na kidogo, kwa mikoa yenye mazingira magumu ya kufanyia kazi {mikoa ya pembezoni; mtwara, lindi,ruvuma, kigoma, rukwa,katavi} kianzia maisha ni zaidi ya Tsh 600000
Nani aliyekuambia au unadanganya wenzako tu..... Waalimu vuten subira ajira zitatoka mwezi wa nne kuripot wa tano
Do dexis ya keya....ajira bado mnawaza posho...mbona hamjadili kuhusu matumizi ya teacning aids mbalimbali au ndo pesa mbele kama tai.......tehteheh.....ajiraaa weeeeeeee
Me npo kigoma nlajirwa mwaka 2013 ila pesa za kujikimu ni 210000 na zpo costant nchi nzima
mbna kuna tangazo lnasema ajra n tar 12/4 ndo majna yanatoka na job n tar moja may
tangazo lipo website gan kaka
Utakuta naye kaskia tu
tangazo lipo website gan kaka