chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
Anae tumia kiroba utamjua tu
kuna mama afisa elimu msingi kaniambia jana kuwa wameambiwa waanze kuandaa mazingira.walimu ajira mpya wanaripoti 1.5.2015. karibuni utumishi wa umma! sisi tumeshakuwa wazoefu!
So zinatoka lini?
Mh! Wewe mwalimu ni hatari thread unaanzisha wewe kuwapa watu taarifa alafu bado unauliza swali tena.
So zinatoka lini?
Mh! Wewe mwalimu ni hatari thread unaanzisha wewe kuwapa watu taarifa alafu bado unauliza swali tena.
So zinatoka lini?
wadau na hii kitu jee