chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
Ewe mwalimu tarajali jiandaee kukusanya vyeti vyako vyote, uwe na passport size za kutosha pesa ya kulala guest wakati unakamilisha maswala halimashauri,usisahau kubeba tochi kwani kwa mujibu wa vyanzo vyangu vya habari mwaka huu ni chaka tu.
Soon tutaanza kuulizana umepangiwa wapi?
Soon tutaanza kuulizana umepangiwa wapi?
