Sio majinias tu ndg bali ni sera bora ya elimu inatakiwa. Hao majinias hata wajae vp kama sera ni mbovu, bado watazalishwa WABOVU tu. Hiv huoni?hao wanaopata ufaulu mzuri na wakasomea Udaktar, si ndo hao hao wanapasua watu vichwa badala ya MIGUU?! haya, wanaofaulu vizuri wakasomea Uhandisi, si ndo haohao Majengo yanaporomoka hovyo? Hao wenye ufaulu wa chini sawa, waende Veta kama ulivyodai lakini ujue chini ya sera mbovu ni haohao WATATUMWAGA sana barabarani kila siku (ajali). So bila sera nzuri tusitarajie UFANISI dat's all.