peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Ikulu you are selected , hawatangazNimepitia mitaani, vijana ni wengi sana hawana ajira.
Mmoja nimekutana naye ameniuliza Hilo swali hapo juu.
Mwenye majibu tafadhali
Hizo ni special kwa chawa wa mazaNimepitia mitaani, vijana ni wengi sana hawana ajira.
Mmoja nimekutana naye ameniuliza Hilo swali hapo juu.
Mwenye majibu tafadhali
DuKwa mimi ninavyofahamu... Mara nyingi uwa ni za kuchagua tu. Kuna mzee mmoja alikuwa anafanya kazi ya usafi ikulu Dar es salaam, baada ya kufariki Mke wake akaitwa na kuambiwa aendelee na kazi aliyokuwa anaifanya mumewe
KWA KIFUPI TUU ........Nimepitia mitaani, vijana ni wengi sana hawana ajira.
Mmoja nimekutana naye ameniuliza Hilo swali hapo juu.
Mwenye majibu tafadhali
Jiajirini nyieNimepitia mitaani, vijana ni wengi sana hawana ajira.
Mmoja nimekutana naye ameniuliza Hilo swali hapo juu.
Mwenye majibu tafadhali
ConnectionNimepitia mitaani, vijana ni wengi sana hawana ajira.
Mmoja nimekutana naye ameniuliza Hilo swali hapo juu.
Mwenye majibu tafadhali
Angalia interview ya Salama na gerson msigwa utapata majibu yote ya jinsi ikulu wanavyoajiriwa it's not easy lazima team ya maskaunti ijiridhishe.Nimepitia mitaani, vijana ni wengi sana hawana ajira.
Mmoja nimekutana naye ameniuliza Hilo swali hapo juu.
Mwenye majibu tafadhali