luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Una kuta mtu ktk program aliyosemea ndani yake kuna courses za profession fulan lkn kama utumishi ktk education qualification wakisema wanataka B.A Y basi ni Y tu
Huu.mfumo ni wa kuutazama uendane na programs zinazo tolewa na vyuo sio kujichanganya tu.
Mfano : system akisema imwombaji awe ana shahada ya Health Services Administration basi mwenye shahada ya Health Management hapo system itamkatalia kuomba iyo position kabisaa wakat izo ni program moja kimaudhui isipokuwa jina tu ndio linawatogautisha . Huo ni mfano tu
Huu.mfumo ni wa kuutazama uendane na programs zinazo tolewa na vyuo sio kujichanganya tu.
Mfano : system akisema imwombaji awe ana shahada ya Health Services Administration basi mwenye shahada ya Health Management hapo system itamkatalia kuomba iyo position kabisaa wakat izo ni program moja kimaudhui isipokuwa jina tu ndio linawatogautisha . Huo ni mfano tu