Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Sikuhiz huwez futa qulification yoyote uliyoweka labda kuedit tu vjet na sio qulificationsMda mwingine ukiedit Huwa haitaki kukaa current, So option nzuri ni kufuta(Delete) then unaweka upya nishawahi kufanya hivi na ikakubali.
Ngoja waje kukupa muongozo...
Hapana Big Sur...wewe ni roboti?
Uko sahihi,nilikua na shida nyingine nimewaona jamaa wananiambia subiri ajira zitoke kulingana na nilichoombaHata ukienda Dodoma kwenye ofisi zao hawawezi kufuta, watakuambia subiri ajira itoke kulingana na hy degree uliyoweka, kwahy hapo n sawa na haujaweka diploma.
Ndo hvy mzee, na hatuna la kuwafanya 😁😁Uko sahihi,nilikua na shida nyingine nimewaona jamaa wananiambia subiri ajira zitoke kulingana na nilichoomba
Fanya ku-refresh after editing.Haiedit mzee ukisave haikubali
namba ya NIDA itamkwamishaFungua account nyingine badili email tu, alaf jaza upyaa
Pole sanaFungua account nyingine badili email tu, alaf jaza upyaa
Bado hajapata huo muongozo, msaidie wwNatumae mleta mada ulipata muongozo...
wameuhusisha mfumo na namba za NiDa kwahyo huiwezekani..kufungua nyingneFungua account nyingine badili email tu, alaf jaza upyaa
YANI HAIWEZEKANI, 100%....AU INATEGEMEA NA REASON UTAKAZOTOA ? CZ MM NINA REASON NA NATAKA NIKAAPE MAHAKAMANI SITAKI KUTUMIA TENA CHETI CHANGU CHA BACHELOR DEGREE...NA HUKO MBELE NITASOMA BACHELOR YA KITU KINGINEHata ukienda Dodoma kwenye ofisi zao hawawezi kufuta, watakuambia subiri ajira itoke kulingana na hy degree uliyoweka, kwahy hapo n sawa na haujaweka diploma.
Kwa uzoefu wangu najua haiwezekani kwa sababu yoyote ile, ila siwezi kukukatisha tamaa ni bora ujaribu kufanya jambo ndipo ushindwe kulitimiza.YANI HAIWEZEKANI, 100%....AU INATEGEMEA NA REASON UTAKAZOTOA ? CZ MM NINA REASON NA NATAKA NIKAAPE MAHAKAMANI SITAKI KUTUMIA TENA CHETI CHANGU CHA BACHELOR DEGREE...NA HUKO MBELE NITASOMA BACHELOR YA KITU KINGINE
Una sababu ya msingi ya kwann hutaki kutumia hicho cheti.?YANI HAIWEZEKANI, 100%....AU INATEGEMEA NA REASON UTAKAZOTOA ? CZ MM NINA REASON NA NATAKA NIKAAPE MAHAKAMANI SITAKI KUTUMIA TENA CHETI CHANGU CHA BACHELOR DEGREE...NA HUKO MBELE NITASOMA BACHELOR YA KITU KINGINE
Hapo shida nn jombi, una edit tu kwwnye akaunti kwa kufuta then unasaveNAOMBA KUJUA, AMBAYE ALIWAHI SAIDIWA KUBADIRISHA ACADEMIC QUALIFICATIONS ZAKE, EITHER KWA KUPIGA SIMU AU KUFIKA OFFCN KWAO.
NAHITAJI NITOE, QUALIFICATIONS YA DEGREE, IBAKIE YA DIPLOMA
NA JE ,ALIPEWA MAJIBU GANI .ASANTENI[emoji120]