Transcription si ukachukue tena chuoniMimi nimesoma Diploma in accountancy lakini nianza kusoma kuanzia Cheti(certificate) mpaka Diploma Sasa kwenye hizi kazi za TRA nimeiweka na nimefanya certification ya transcript Moja tu yaaan ya DIPLOMA.
Ila sijaiweka ya cheti(certificate) kwasababu niliipoteza hiyo transcript.... Je inaweza kusumbua katika Ajira portal?
Msaada please!
Mkuu kwa kumsaidia ungemuwekea link yenye hiyo solution hapa JF zinachakatwa threads nyingi na huyu Mkuu mleta hoja ni guru wa Jukwaa la Politics [emoji1]Someni uzi za wenzanu mtapata majibu, inachosha kueleza jambo moja kwa kila mtu kila wakati
Si useme tu ni wewe mkuu?Habari,
Kuna jamaa yangu alijaza ajira portal miaka mitano imepita, ila sasa anataka aweke certified coppies ila anakutana na changamoto cheti cha O- level kinagoma kufanyiwa editing yaani kukikndoa na kuweka kingine.
Alipofosi akajikuta kaweka cheti cha O level mara 3 ila kuapload ile certified copy imekuwa ngumu.
Nimejaribu kumsaidia imekuwa ngumu.
Vipi aache tu kopi ya zamani au afanyeje?
Thanks.
Akajisahau akazamia kwenye siasa akaacha majukwaa mengine 😂😂Mkuu kwa kumsaidia ungemuwekea link yenye hiyo solution hapa JF zinachakatwa threads nyingi na huyu Mkuu mleta hoja ni guru wa Jukwaa la Politics [emoji1]
Unataka uvifute vya nn ndo vinavyotakiwa Kuwa hivyoNashangaa hivi vitu havifutiki kwenye portal yangu nimeupdates Mara kibao Ila bado vinabaki hivyohivyo shida nini au ni wote.
View attachment 2208916
Mijito mingine mijuhaUnataka uvifute vya nn ndo vinavyotakiwa Kuwa hivyo
InakataaWakuu hivi inawezekana kuomba kazi ukiwa over qualified kwenye mfumo wa ajira portal? Mfano nafasi zinazohitaji sifa za form 4 alafu mimi nina astashahada. Nikiomba mfumo utakubali?
Na hakuna option nyingine lbd ya kudrop baadhi ya sifa?Inakataa
Nashangaa hivi vitu havifutiki kwenye portal yangu nimeupdates Mara kibao Ila bado vinabaki hivyohivyo shida nini au ni wote.
View attachment 2208916