Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

Naomba kuulizia hiv ni kwanini ukituma maombi ajira portal inakuandikia application failed ilihali unavigezo vyote kulingana na tangazo husika lilivoainisha
 
Utakuwa umekosa vigezo haiwezi kukataa.

Na kikubwa unakuta inataka "uzoefu wa kazi" lakini kwenye profile yako inaonekana haujawahi kufanya kazi, na mengineyo.
 
Hawa jamaa wameni unshortlist Mara kibao visababu havieleweki ko najihami
 
Hawa jamaa wameni unshortlist Mara kibao visababu havieleweki ko najihami
Sema sababu usaidiwe.. maana hv karibuni issue kubwa ilikuwa kucertify vyeti, Sasa ww unaambiwaje maana naona kama unajitafutia majanga unadeal na vitu visivyohusika tena ni vya kawaida saaaaana..
 
mitandao ya simu ina nafuu katika swala la huudma kwa waateja kuliko hawa watu...
 
Naomba kuulizia hivi ni kwanini ukituma maombi Ajira Portal inakuandikia application failed ilihali unavigezo vyote kulingana na tangazo husika lilivoainisha.
Mkuu download app ya ajira portal playstore hope utaweza ku-apply kupitia app.
 
Pole.Daudi alipanda cheo.Ni Naibu Katibu Mkuu Utumishi wa Umma na Utawala Bora Tanzania.Nafasi aliyoiacha imejazwa leo.Unamchukia sana? Unapata nini?
Namchukia sana,hata yeye anajua namchukia sana, nayeye ananichukia 50/50.........
 
Sema sababu usaidiwe.. maana hv karibuni issue kubwa ilikuwa kucertify vyeti, Sasa ww unaambiwaje maana naona kama unajitafutia majanga unadeal na vitu visivyohusika tena ni vya kawaida saaaaana..
Mdogo wangu amepiga muhuri wa mwanasheria na ameviattach vyeti toka mwaka jana na hii Interview kibao ameitwa hadi Interview ya juzi iliyofanyika mzinga Tabora aliitwa cha ajabu hii short list iliyotolewa jana hayupo kaambiwa eti hajaweka cheti.
 
Mdogo wangu amepiga muhuri wa mwanasheria na ameviattach vyeti toka mwaka jana na hii Interview kibao ameitwa hadi Interview ya juzi iliyofanyika mzinga Tabora aliitwa cha ajabu hii short list iliyotolewa jana hayupo kaambiwa eti hajaweka cheti.
Basi hapo shida ni kwenye system Yao Wenda cheti Akionekani..
Ila akijaribu kucheck tena kwenye account cheti kipo au hakipo..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…