Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

Basi hapo shida ni kwenye system Yao Wenda cheti Akionekani..
Ila akijaribu kucheck tena kwenye account cheti kipo au hakipo..?
Kwake cheti kinaonekana na amelog in kwenye simu zaidi ya 5 vyeti vyote vinaonekana. Ajira portal kuna tatizo kubwa sana kwasasa.
 
kweli we wa mbeya no offense hizo zinabaki hivyo hivyo sababu zinaweza change mda wowote unaweza ukaoa au ukapata hiyo ya chini
😂😂 Imebidi nirudi kuangalia hy ya chini ni nn 😂😂
 
Kwake cheti kinaonekana na amelog in kwenye simu zaidi ya 5 vyeti vyote vinaonekana. Ajira portal kuna tatizo kubwa sana kwasasa.
inasikitisha ila asikate tamaa
 
Ndiyo. Tena inasumbua sana. It's better ukaitafute ujen uipakie tu maana hakuna namna nyingine.
 
Yaani Akili zilizotumika kuitengeneza ile ni ndogo sana alafu zimeaminiwa na kuleta taharuki kwa watanzania.

System ya hovyo sana ile. Wataalamu wa kompyuta lazima tutakubaliana katika hili.
 
Je nikwel ajira portal Ina msaada mkubwa katika kupata ajira, swali TU.
Inao msaada kwasababu hakuna namna nyingine kama ilivyo kwa TANESCO lakini huo msaada ni mdogo saana yaani kiduchu na lazima utaujutia.
 
Ingia kwenye email yako pengine wameshakutumia ujumbe wa kucomfirm registration. Usipokuta fungua email nyingine
Mimi nimejaribu kwa kwa email zatu zote wananiambia wanatuma activation email lakn ku activate inanambia nmetmia email au password isiyo sahih wakat nakopi na ku paste.
Shida inaweza ikawa nn
 
Ingia kwenye email yako pengine wameshakutumia ujumbe wa kucomfirm registration. Usipokuta fungua email nyingine
Mimi imenitesa ku activate account hi n wiki ya pili jaman kila nkijarib wanantumia the same email yenye link ya ki activate lakin inazingua ko sjajua shida nn na nimejaribu kwa email tatu tayari lakn n vilevile

 
Nikimaliza ku create account wanantumia email yenye link ya ku activate account. navotaka ku activate inaniomba kuweka email na password na naweka vile vile bila kukosea lakin wasasema incorrect login mpak sielew
 
Nikimaliza ku create account wanantumia email yenye link ya ku activate account. navotaka ku activate inaniomba kuweka email na password na naweka vile vile bila kukosea lakin wasasema incorrect login mpak sielew
Nitumie credentials zako nikufungulie akaunti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…