Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

Wamesema wapi wanataka vyeti vya form 4 na six kwenye academic transcript
Hawajasema,lakini nimekuta option za kuziweka,ndio swali langu lipo hapo je Kuna umuhimu wa kuviweka hapo ?
Maana nimesoma hata user manual yao hawajaongelea kipengele cha academic transcript Bali wameongelea academic qualifications
 
Hawajasema,lakini nimekuta option za kuziweka,ndio swali langu lipo hapo je Kuna umuhimu wa kuviweka hapo ?
Maana nimesoma hata user manual yao hawajaongelea kipengele cha academic transcript Bali wameongelea academic qualifications
Mkuu mimi nimeweka transcript tuu ya chuo

Siku zote hua naitwa!
 
Ushahidi Mwingine ni huu hapa AJIRA Portal ni Mzigo. 26/06/2022.

Waziri wa TAMISEMI Innocent Bashungwa, amesema jumla ya nafasi 736 kada za afya zimekosa waombaji wenye sifa, kada hizo ni Daktari wa Meno 50, Tabibu Meno 43, Tabibu Msaidizi 244, Mteknolojia Mionzi 86 na Muuguzi ngazi ya cheti 313, na kusema watarudia kutangaza ili kupata waombaji wenye sifa.

#EastAfricaRadio

Siyo rahisi hizo Kada zote kukosa Wataalamu nchini Tz. Bali wenye sifa Mfumo una ondoa wakitaka ku attach Barua. Ina sema FAILED.
 
Hivi kwanini ajira portal wanabana sana system ya kuomba kazi utumishi yaan mtu ana vyeti vyote kaweka kwanini wasimpe uhuru wa kuapply tu na sio kuoverqualify yaan wanafanya maisha yanakuwa magumu kabisa mtaani wakati mtu ana uwezo.kabisa wa kuomba lakini system walivyoibana sio poa kabisa.
 
Ukiona Hivyo Jua Mwenye Kitengo Cha Kuratibu Ajira Portal Hajui Anachokifanya.
 
Ivii wanaruhusu kuapply kwa vyeti cerify bilaa kuw na transcript na ukaptaa yaan nina maan uapply bilaa transcript ukaitw

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Nadhani wameamua kuwa VERY SPECIFIC kwenye vigezo vya kazi husika kupunguza wasiohusika, kama una degree dili na wenzako wa degree kama dip au cert likewise
 
Nadhani wameamua kuwa VERY SPECIFIC kwenye vigezo vya kazi husika kupunguza wasiohusika, kama una degree dili na wenzako wa degree kama dip au cert likewise
Mtu ana vyeti vyote kwann wasiwapatie fursa tu kuliko kubana
 
Mtu ana vyeti vyote kwann wasiwapatie fursa tu kuliko kubana
Sister uki -over qualify haufiti kwa kazi husika kila kada ina qualifications zake na wage rate yake hivi ukiajiriwa na degree yako ukalipwa mshahara wa Diploma (maana ndio mahitaji ya mwajiri) hutalalamika upom underpaid?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…