Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

Kwahyo na huo Uzuri wote uliokuwanao Ila bado wamekuchinjia baharini au ulifanyiwa interview na wanawake wenzio😁😁
 
Usijali, mm nilifanya mwezi wa 6, nikaandikiwa ivo ivo, at the end nimekuja kupata post, mwezi wa 12,
Apo maana yake waliotarajiwa kwa idad husika ya post wamepatkana, wew umebak kwene data base, ikitokea post yoyote inayohusiana na career yako ni moja kwa moja utachaguliwa.
NB: Niliomba Utafiti badae nikapata Ukufunzi
 
Kwahyo na huo Uzuri wote uliokuwanao Ila bado wamekuchinjia baharini au ulifanyiwa interview na wanawake wenzio[emoji16][emoji16]
Uwiii kawaidaa Tu nadhan hawaangalii ayo mambo,na lile barid la pale tumewah tk saa 12 mpk unaingia kufanya tushagalagala pale nje aisee ukija kuingia ndan pamoto uko hoi.
 
Tupe basi experience hyo na sisi tujue Pina from written to Oral
Kwa experience niliyoipata kwenye written maswali yanatoka mengi ya darasani kulingana na kazi ilivyo kwahyo kusoma job description unailink na baadhi ya topics ulizozisoma na pia kuielewa zaidi hyo kazi inahusu nn,kwenye oral nlivyoona hawapo complicate sana lkn pia ni maswali ya darasan in relation na kazi husika na unaweza ambiwa umention points,so unaweza usijibu points kma hukumbuki.Lakini cha muhimu ni kusoma topics husika kulingana na kazi..Honestly mimi kwenye oral kuna maswali sikuweza kujibu points zote nilisahau nyingine
 
Written ni kujitaid kwenda na muda ufanye maswali yote ata kama hujui points zote atleast ujaze points unazozijua but angalau umefanya maswali yote iki pia nimejifunza kwenye written maana muda unavoenda kma masihara.
😁😁 Wanatoa dakika 40 Ila Ila dakika 30 tu wanakusanya dadeq
 
Ahsante kwa muongozo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…