Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

Hapo kwenye kufungua akaunti mpya umetupiga kamba mzee wangu.
Anyway, kitu unachoweza kufanya kwenye academic qualifications ni kubadilisha cheti tuu hayo mengine huwezi kubadili, yani qualification inaweza kuwa ni degree lkn cheti ukaweka cha hotel management 😎
 
Hiyo changamoto inawakuta wengi yan hiyo portal haikubali ufute cheti kabisaaa kwny academic qualification
 
Habari za kazi wakuu naomba kuuliza inachukua muda gani ajira portal kumtumia mtu email baada ya kujiajili ili aweze kuactivate account
 
Habari za kazi wakuu naomba kuuliza inachukua mda gani ajira portal kumtumia mtu email baada ya kujiajili ili aweze kuactivate account
Mbona huwa haizidi dakika 5? Otherwise shida ya mtandao
 
Tofauti ya extra time na per diem ni nini?
Extra time Ni muda wa ziada baadhi ya taasisi ukifanya kazi muda ambao sio wa wakazi unahesabiwa masaa yako ya ziada unalipwa...ila per diem ni malipo ambayo unalipwa kwa kufanya kuudhulia mafunzo flani nje ya kituo chako cha kazi
 

Aisee hii kitu cjui kwann wanafanya HV na wanaona
 
Aisee pole sana hii kitu inasumbua wengi sana na sijui kwaniin
 
Mliyowahi kuapply kupitia mfumo wa ajira portal mlifanyaje mkafanikiwa maana mimi nagomewa.

Lakini pia kwenye kipengele cha academic qualification Hamna option ya kufuta qualification zingine msaada wenu jaman
Hii Ni kwanin unataka kufuta maana pale kweli nishida mku
 
Tatzo awwsikilizi sisi watumiaji
 
Ulifanikiwaa
 
Ni kweli kabsa ulichosema mfumo auko friendly kabsa cjui tufanyaje kuondoa hii Keri iwezei kufika kwaoo
 
Mfumo kufutwa ni ngumu sana kwa sababu umesaidia sana watoto wa kimaskini kupata ajira mfano mimi mwenyewe nimepata kaz kupitia utumishi sina ninae mjua nmepambana kufa na kupona mungu nae kaniona. Kikubwa mfumo ufanyiwe marekebisho na wengine waweze kuomba kaz bila shida yoyote
 
Naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…