Ishu kubwa waweke it wazuri hapo usikute aliyepo kabebwa ameshindwa kupiga Kodi vizuri zikidhi matakwa ya watanzania ama kakopi mfumo wa nje nchi nyingine akaedit kidogo akamaliza akapewa zake fungu.
Sawa binafsi nimeshawahi hangaika na taito ya uhandisi Mana Ipo inayomtaka mtu highway na construction engineer Ila nilibadili taito.
Ishu kubwa mfumo urekebishwe pia mtu akija kwa usahili aje na vyeti halisi sio wamalizie kwa mfumo.
Naombeni tukubali kuwa we're moving to digital world.
Mana mie Niko huku kijijini Rosana,kemakorere,nyarero,nyamwaga,rebu,muriba, Keisangora,itiryo,nyasincha,bungurere,nyanungu,ketawasi,kebaso,mseghe,kiribo,ghenkuru,mogabiri na vijiji vinginevyo ni kazi Sana mpaka nifike Tarime mjini nitume maombi Mana lazima nitumie nauli ya alfu kumi to and return.
Bora huu mfumo hata nikiwa hapa mpakanj ketawasi na pori la Serengeti nachunga huku nikichoma swala Mana Askari ni marafiki zangu wananiulia swala nikijisikia hamu na nachunga usiku porini Mana mapishi ni shida.
Natuma maombi bila shida. Ninaomba hata usaili tufanye online kabisa.yaani ukiitwa ni kazini kaabisa unaenda.
Mfano nitoke kegonga mpaka Dar ni masaa mengi Sana la sivyo mtumalizie hii road ya Kupitia Arusha via Serengeti national Park ili hata nitumie siku moja to dar la sivyo ni siku mbili. Nifike mwanza nilale gesti jamani niamke asubuhi mpaka dar nilale gesti Tena hizo gharama za kula na zingine natoa wapi hela.
Huku ndo nimetoka chuo Sina hata mia