Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

Umehitimu chuo kikuu kweli?
Mkuu taarifa Huwa tunazipokea Kwa aina mbali mbali, Mm nimeandika barua ya kuomba kazi kama inavyopaswa kuandikwa, system inaniambia nihakikishe kama barua imesainiwa, nauliza tena tuna sign wapi na kitu Gani? Au tunasaini chini baada ya Jina kama signature? Inawezekana kwenye system lbda Kuna kipengele inabidi ukikamilishe Ila mm sifahamu
 
Mkuu taarifa Huwa tunazipokea Kwa aina mbali mbali, Mm nimeandika barua ya kuomba kazi kama inavyopaswa kuandikwa, system inaniambia nihakikishe kama barua imesainiwa, nauliza tena tuna sign wapi na kitu Gani? Au tunasaini chini baada ya Jina kama signature? Inawezekana kwenye system lbda Kuna kipengele inabidi ukikamilishe Ila mm sifahamu
Wewe shuleni ulifundishwaje?
 
Wewe shuleni ulifundishwaje?
Tumeshindwa kuelewana, Tatzo halikua shule tatzo lilikua system, Mm nilifkiri system inaponiambia ni sign labda Kuna sehem Unaenda kwenye system inakugongea stamp au unafanya declaration, ndo maana nikauliza maana mm barua nimeandika Kwa mkono halafu nika scan
 
Mkuu taarifa Huwa tunazipokea Kwa aina mbali mbali, Mm nimeandika barua ya kuomba kazi kama inavyopaswa kuandikwa, system inaniambia nihakikishe kama barua imesainiwa, nauliza tena tuna sign wapi na kitu Gani? Au tunasaini chini baada ya Jina kama signature? Inawezekana kwenye system lbda Kuna kipengele inabidi ukikamilishe Ila mm sifahamu

Barua zote za kikazi (official letters) inabidi zisainiwe. Mi nadhani system haikutakiwa kukukumbusha, usiposign ilitakiwa kuwa automatic disqualification. Mwisho wa barua inaanza Sign ikifuatiwa na jina chini yake (halianzi jina kama ulivyosema). Ni vizuri uscan coloured.
 
Barua zote za kikazi (official letters) inabidi zisainiwe. Mi nadhani system haikutakiwa kukukumbusha, usiposign ilitakiwa kuwa automatic disqualification. Mwisho wa barua inaanza Sign ikifuatiwa na jina chini yake (halianzi jina kama ulivyosema). Ni vizuri uscan coloured.
Umeeleweka vyema Mkuu, Asante Kwa Muongozo
 
Barua zote za kikazi (official letters) inabidi zisainiwe. Mi nadhani system haikutakiwa kukukumbusha, usiposign ilitakiwa kuwa automatic disqualification. Mwisho wa barua inaanza Sign ikifuatiwa na jina chini yake (halianzi jina kama ulivyosema). Ni vizuri uscan coloured.
Ila mm natumia Application Ku sign na sign inatokea vizuri though maandishi yanatokea
ya Rangi nyeusi je Kuna Tatizo lolote? Maana Ku scan Ku print na Ku sign sio kazi ndogo
 
Habari zenu Wana Jamvi.
Niende Moja kwa Moja kwenye kichwa Cha habari husika kwamba "Mfumo Wa Kuajiri Kupitia Ajira Portal Uondolewe".
Kwanza mfumo huu sio rafiki kwa wahusika wanaotafuta Ajira maana mfumo unabagua hatujuia walichukua heading za fani/ Kozi kutoka Chuo gani Mfano kuna watu wamesoma na wakapewa vyeti
Bachelor of Electrical Engineering wengine wakasoma Bachelor of Science in Electrical Engineering
Zinapotangazwa nafasi Ajira mfumo unaweza kuwabagua watu hawa kutokana na Title za vyeti vyao na tunasahau kile kipengele Cha relevant qualification hakizingatiwi katika mfumo.
Kingine Mfumo umekatisha ndoto za wahitimu wengi kupata Ajira serikalini Kwanini?
Kuna watu katika stage za kusoma walianzia chini kwamaana Certificate, Diploma, Degree na kuendelea. Mfano una diploma ya Umeme ukajiendeleza ukapata degree ya Umeme maana utakua na cheti Cha diploma pamoja na degree. Unapoweka cheti Cha degree katika mfumo wa Ajira portal hutoweza kuedit na kukitoa na kuomba nafasi ya diploma kama Ajira za diploma zimetangazwa maana yake inalimit watu katika kuomba Ajira Mfumo sio rafiki Bora mfumo wa zamani wa kupeleka barua utaomba nafasi kulikana na level ya elimu yako.
Kuna Mapungufu mengi katika mfumo hasa katika Kozi zinazoendana ikitokea nafasi ya Ajira mfumo unazibagua Kozi hizo ambazo zinaendana.
Nitoe Rai katika Uwongozi wa Mfumo warekebishe mfumo katika kipengere Cha Kozi zinazofanana/relevant qualification Wote waitwe kwenye Usaili washindanishwe.
Kama kurekebishwa itashindikana Mrudishe Mfumo wa zamani Kila Taasisi, Wizara na Sekta nyingine za Serikali ziajiri zenyewe Zisihusishe mfumo wa Ajira portal Sio Rafiki Unawachelewesha vijana katika kutumikia Taifa lao pendwa la Tanzania.
Nawasilisha
 
Mada hii ni mhimu sana.
Nipo kwenye Shirika la Umma ila hainizuii kuomba kazi kwenye shirika lingine lakini kila nikijaribu kuomba najibiwa "Job Application Failed " eti Degree programme sio sahihi.
 
Sidhani kama mfumo una tatizo lolote, labda kama kuna matatizo madogo ya kurekebisha ,pia umesaidia sana katika uombaji wa kazi umekuwa rahisi,lakini pia wewe una degree na diploma kwanini uombe kazi ya diploma ,je wadiploma afanye nini,tuache ubinafsi tuangalie mambo kwa mapana yake
 
Ishu kubwa waweke it wazuri hapo usikute aliyepo kabebwa ameshindwa kupiga Kodi vizuri zikidhi matakwa ya watanzania ama kakopi mfumo wa nje nchi nyingine akaedit kidogo akamaliza akapewa zake fungu.
Sawa binafsi nimeshawahi hangaika na taito ya uhandisi Mana Ipo inayomtaka mtu highway na construction engineer Ila nilibadili taito.
Ishu kubwa mfumo urekebishwe pia mtu akija kwa usahili aje na vyeti halisi sio wamalizie kwa mfumo.
Naombeni tukubali kuwa we're moving to digital world.
Mana mie Niko huku kijijini Rosana,kemakorere,nyarero,nyamwaga,rebu,muriba, Keisangora,itiryo,nyasincha,bungurere,nyanungu,ketawasi,kebaso,mseghe,kiribo,ghenkuru,mogabiri na vijiji vinginevyo ni kazi Sana mpaka nifike Tarime mjini nitume maombi Mana lazima nitumie nauli ya alfu kumi to and return.
Bora huu mfumo hata nikiwa hapa mpakanj ketawasi na pori la Serengeti nachunga huku nikichoma swala Mana Askari ni marafiki zangu wananiulia swala nikijisikia hamu na nachunga usiku porini Mana mapishi ni shida.
Natuma maombi bila shida. Ninaomba hata usaili tufanye online kabisa.yaani ukiitwa ni kazini kaabisa unaenda.
Mfano nitoke kegonga mpaka Dar ni masaa mengi Sana la sivyo mtumalizie hii road ya Kupitia Arusha via Serengeti national Park ili hata nitumie siku moja to dar la sivyo ni siku mbili. Nifike mwanza nilale gesti jamani niamke asubuhi mpaka dar nilale gesti Tena hizo gharama za kula na zingine natoa wapi hela.
Huku ndo nimetoka chuo Sina hata mia
 
Habari zenu Wana Jamvi.
Niende Moja kwa Moja kwenye kichwa Cha habari husika kwamba "Mfumo Wa Kuajiri Kupitia Ajira Portal Uondolewe".
Kwanza mfumo huu sio rafiki kwa wahusika wanaotafuta Ajira maana mfumo unabagua hatujuia walichukua heading za fani/ Kozi kutoka Chuo gani Mfano kuna watu wamesoma na wakapewa vyeti
Bachelor of Electrical Engineering wengine wakasoma Bachelor of Science in Electrical Engineering
Zinapotangazwa nafasi Ajira mfumo unaweza kuwabagua watu hawa kutokana na Title za vyeti vyao na tunasahau kile kipengele Cha relevant qualification hakizingatiwi katika mfumo.
Kingine Mfumo umekatisha ndoto za wahitimu wengi kupata Ajira serikalini Kwanini?
Kuna watu katika stage za kusoma walianzia chini kwamaana Certificate, Diploma, Degree na kuendelea. Mfano una diploma ya Umeme ukajiendeleza ukapata degree ya Umeme maana utakua na cheti Cha diploma pamoja na degree. Unapoweka cheti Cha degree katika mfumo wa Ajira portal hutoweza kuedit na kukitoa na kuomba nafasi ya diploma kama Ajira za diploma zimetangazwa maana yake inalimit watu katika kuomba Ajira Mfumo sio rafiki Bora mfumo wa zamani wa kupeleka barua utaomba nafasi kulikana na level ya elimu yako.
Kuna Mapungufu mengi katika mfumo hasa katika Kozi zinazoendana ikitokea nafasi ya Ajira mfumo unazibagua Kozi hizo ambazo zinaendana.
Nitoe Rai katika Uwongozi wa Mfumo warekebishe mfumo katika kipengere Cha Kozi zinazofanana/relevant qualification Wote waitwe kwenye Usaili washindanishwe.
Kama kurekebishwa itashindikana Mrudishe Mfumo wa zamani Kila Taasisi, Wizara na Sekta nyingine za Serikali ziajiri zenyewe Zisihusishe mfumo wa Ajira portal Sio Rafiki Unawachelewesha vijana katika kutumikia Taifa lao pendwa la Tanzania.
Nawasilisha
UONDOLEWE HILI MPITISHWE BURE TANESCO NA TPA ,AJIRA PORTAL IENDELEE KWANI NDIO MASIKINI WENGI WANAPITA UKO
 
Kama kurekebishwa itashindikana Mrudishe Mfumo wa zamani Kila Taasisi, Wizara na Sekta nyingine za Serikali ziajiri zenyewe Zisihusishe mfumo wa Ajira portal Sio Rafiki Unawachelewesha vijana katika kutumikia Taifa lao pendwa la Tanzania.
Nawasilisha
HAKUNA KURUDISHA MFUMO WA ZAMANI ULIJAA UNDUGU DADEKI
 
vitu ulivyosema vinaweza kufanyiwa updates tu ili kuondoa hayo mapungufu

ukiachilia hayo, Ajira portal imesaidia watu ambao hawana connections za maana kupata kazi.

Na huu mfumo wa kufanya mitihani inayoegemea mambo ya darasani nadhani inawasaidia sana fresh graduates kupata kazi maana vichwa bado vinakuwa vya moto na mambo ya school. Sio wengine ushapambana wee ukiniambia nianze kukariri ni tabu

labda mfumo mzima wa interview za ajira serikalini uboreshwe ili uwe competence based kama private sector.
 
Huu mfumo unaleta fairness sanaa, kuna taasisi moja kubwa tuu ilikuwa ina ukiritimba wa kuajiri wahitimu toka chuo fulani tuu, ila baada ya huu utaratibuna wengine wa vyuo vingine walinufaika pia.

Tatizo lako una tamaa sana na huelewi mambo, kikawaida your highest level of education ndiyo inayotakiwa kuwa considered kwenye ajira. Nyie ndo wale mnaopendaga kuajiriwa kama diploma, kisha mkifika kituo cha kazi mbadili gia angani muingiziwe mishahara ya degree au masters kabisa.

Kazi nyingi z serikali ziko exclusive kabisa kwamba tunahitaji labda diploma kadhaa, ama degree kadhaa. Hawatumiagi neno "angalau awe na diploma". Hivyo malalamiko yako hayako relevant kabisa.
 
Kwahio mkono ukichafuka badala ya kunawa unaukata ?
 
Back
Top Bottom