Ajira Portal Login na Registration - Naona ni Changamoto Kwa Baadhi ya Vijana

Ajira Portal Login na Registration - Naona ni Changamoto Kwa Baadhi ya Vijana

ideakid

Member
Joined
Sep 28, 2016
Posts
5
Reaction score
2
Katika pita pita zangu hapa jamii forums, haswa katika jukwaa hili la ajira na tenda... moja kati ya mambo ambayo nimeyagundua ni kuwepo kwa changamoto kwa vijana (haswa ambao ni wapya katika soko la ajira), ama wakiwa hawafahamu ajira portal ni kitu gani, ama wanashindwa kujisajili na baadhi wanashindwa hata ku-loign baada ya kuwa wameshajisajili.
Mwaka huu (2025):
  1. Msaada nimeisahau password ya kuingia ajira portal
Mwaka jana (2024)- Baadhi ya post kwa mwaka uliopita ni hizi hapa:
  1. Nashindwa Kuapply Kazi ya Ualimu kupitia Ajira Portal
  2. Msaada: Nashindwa kubadilisha cheti Ajira Portal kuweka kilichokuwa certified
Miaka kati ya 2022 - 2023
  1. KERO - Mfumo wa Ajira Portal unatutesa, mamlaka husika ifanyie kazi changamoto hii
  2. KERO - Watoa Huduma Ajira Portal hawapokei simu, tunashindwa kufanya mabadiliko kwenye portal
Mara kadhaa nimekuwa nikiwaona vijana hawa kama wazembe (haswa ukizingatia mimi taaluma yangu ni ktk masuala ya TEHAMA)... (ni kweli, ni wazembe kiasi, haswa katik ulimwengu huu wa leo wa taarifa, ulimwengu wa Google na ChatGPT)... lkn baada ya kuifikiria kwa kina nikagundua huenda ni rahisi kwangu kwakuwa nimetumia miaka kadhaa darasa kujifunza masuala hayo... probably yapo mambo ambayo nami pia siyafahamu na wenye taaluma hizo huwa wananishangaa wakisema, "yani hata hilo haujui...?"

Well, tunahitajiana, hatuwezi wote kuwa na fani za aina moja. Vijana, mnaweza pitia post hii na pengine mtapata mawili matatu.
  1. Kuhusu ajira portal login and registration
  2. Kuhusu ajira portal registration....
  3. Nafasi za kazi Serikalini na Sekta Binafsi - Ajira Portal (ni wavuti binafsi, sio ya serikali).
  4. Nafasi za kazi sekta binafsi na serikalini, tembelea Kazi Portal.
  5. Nafasi za kazi East Africa, Online (Remote) Freelancing Jobs cheki Kili Jobs.
  6. Nafasi za Scholarships, kwa mnaotaka kujiendeleza kimasomo ndani na nje ya nchi, cheki scholarx.cc
 
Back
Top Bottom