Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Ukisikia wolrd against you ndio hiiTamisemi kushirikiana na Shirika la Benjamin William Mkapa wametangaza ajira za mda:sifa za muombaji asizidi miaka 35 ,je hawa wenye miaka 36 nakuendelea kuna sheria ipi inayofanya muwe na kigezo cha umri? Miaka 5 na miez 4 Watu wako mitaani sasa mnapokuja na kigezo cha umri mnamanisha nini?
View attachment 1756803