Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Ukisikia wolrd against you ndio hiiTamisemi kushirikiana na Shirika la Benjamin William Mkapa wametangaza ajira za mda:sifa za muombaji asizidi miaka 35 ,je hawa wenye miaka 36 nakuendelea kuna sheria ipi inayofanya muwe na kigezo cha umri? Miaka 5 na miez 4 Watu wako mitaani sasa mnapokuja na kigezo cha umri mnamanisha nini?
View attachment 1756803
Bangi ikichanganyanywa na ugoro ni nomaKutumika katika public service ni 30 years unastafu,
Mathematicaly:-
35years+30 years= 65years
Now.
Kwa Kuwa umri wa kustaafu ni pale unapofikia miaka 60,
Therefore,
Kuanzia umri wa miaka 35 kwenda juu hana sifa ya kuajiliwa katika public service.
N:B
Utaratibu huu hautumiki katika vyeo vya kuteuliwa
Kutumika katika public service ni 30 years unastafu,
Mathematicaly:-
35years+30 years= 65years
Now.
Kwa Kuwa umri wa kustaafu ni pale unapofikia miaka 60,
Therefore,
Kuanzia umri wa miaka 35 kwenda juu hana sifa ya kuajiliwa katika public service.
N:B
Utaratibu huu hautumiki katika vyeo vya kuteuliwa
Kwa sheria ipi?Kutumika katika public service ni 30 years unastafu,
Mathematicaly:-
35years+30 years= 65years
Now.
Kwa Kuwa umri wa kustaafu ni pale unapofikia miaka 60,
Therefore,
Kuanzia umri wa miaka 35 kwenda juu hana sifa ya kuajiliwa katika public service.
N:B
Utaratibu huu hautumiki katika vyeo vya kuteuliwa
Tamisemi kushirikiana na Shirika la Benjamin William Mkapa wametangaza ajira za mda:sifa za muombaji asizidi miaka 35 ,je hawa wenye miaka 36 nakuendelea kuna sheria ipi inayofanya muwe na kigezo cha umri? Miaka 5 na miez 4 Watu wako mitaani sasa mnapokuja na kigezo cha umri mnamanisha nini?
View attachment 1756803