Kuwa tu mpole. Maana viongozi wetu wa Tanganyika, wakiwa na akili zao timamu wamekubali tuwe na Muungano wa hovyo kabisa wa changu changu, chako changu na hao Wazanzibari.
Babu wewe ni mchoyoo utaona lakini ipo siku yako 🤣🤣🤣🤣
 
Kamsome mzee Mohamed said wa jukwaa la historia vizuri bila kujali itikadi utapata jibu mujalabu
 
Mmesoma wote chekechea mpaka chuo Tanania bara lakini wao hupewa kipaumbele kwenye ajira kwa kigezo cha kubalance muungano

Mmeenda wote mafunzo ya jkt, wao wana asilimia kubwa ya kuajiriwa moja kwa moja kwa kigezo cha kudumisha muungano

Akikosa ajira Bara anaweza kwenda Zanzibar
 
Zanzibar inatekeleza mkakati wa kukontro population isiongezeke kwa kasi mana kisiwa kile kina limited space
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…