The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Hayo ndio matokeo ya muungano wa mchongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyi wajinga hamuishi tu!!?.. hakuna tanganyika bali kuna zanzibar,rais wa tanganyika nani!?Ikiwa Wazanzibari wanaruhusiwa kuapply kazi za Tanganyika, na wengi tu wameajiriwa huku Tanganyika, ni kwa nini ajira za Zanzibar ziwekewe kigezo cha "Awe Mzanzibari"?
Mbona ajira za Tangayika zikitoka kigezo kinakuwa "Awe Mtanzania" (Haijalishi anatoka Tanganyika au Zanzibar).
Hii kitu usoni watu wanaweza wakawa wanacheka lakini mioyoni mwao hawaifurahii kabisa.
HII NI RACISM YA WAZI KABISA.
Ili nchi iweze kuwa moja na kuondoa racism, inabidi kuwepo na mchanganyiko wa pande zote 2, wa huku awe huru kwenda kule, na wa kule aje huku bila kuwepo ubaguzi wa aina yoyote ile.
Mbali na hapo, huu Muungano ni suala la muda tu, hautafikisha hata miaka 100 utavunjikia mbali.
View attachment 3070521
SivyoZanzibar na Tanganyika ni km Hongkong na China Mainland
Lete ushahid nipp hapa kushuhudiaSivyo
Ikiwa Wazanzibari wanaruhusiwa kuapply kazi za Tanganyika, na wengi tu wameajiriwa huku Tanganyika, ni kwa nini ajira za Zanzibar ziwekewe kigezo cha "Awe Mzanzibari"?
Mbona ajira za Tangayika zikitoka kigezo kinakuwa "Awe Mtanzania" (Haijalishi anatoka Tanganyika au Zanzibar).
Hii kitu usoni watu wanaweza wakawa wanacheka lakini mioyoni mwao hawaifurahii kabisa.
HII NI RACISM YA WAZI KABISA.
Ili nchi iweze kuwa moja na kuondoa racism, inabidi kuwepo na mchanganyiko wa pande zote 2, wa huku awe huru kwenda kule, na wa kule aje huku bila kuwepo ubaguzi wa aina yoyote ile.
Mbali na hapo, huu Muungano ni suala la muda tu, hautafikisha hata miaka 100 utavunjikia mbali.
View attachment 3070521
Nani anayelazimisha muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ?
Suluhisho la tatizo hili ni aidha kuunda Serikali moja tu ya Muungano au kuuvunja Muungano wenyewe ili kila upande ubaki na hamsini zake.Ikiwa Wazanzibari wanaruhusiwa kuapply kazi za Tanganyika, na wengi tu wameajiriwa huku Tanganyika, ni kwa nini ajira za Zanzibar ziwekewe kigezo cha "Awe Mzanzibari"?
Mbona ajira za Tangayika zikitoka kigezo kinakuwa "Awe Mtanzania" (Haijalishi anatoka Tanganyika au Zanzibar).
Hii kitu usoni watu wanaweza wakawa wanacheka lakini mioyoni mwao hawaifurahii kabisa.
HII NI RACISM YA WAZI KABISA.
Ili nchi iweze kuwa moja na kuondoa racism, inabidi kuwepo na mchanganyiko wa pande zote 2, wa huku awe huru kwenda kule, na wa kule aje huku bila kuwepo ubaguzi wa aina yoyote ile.
Mbali na hapo, huu Muungano ni suala la muda tu, hautafikisha hata miaka 100 utavunjikia mbali.
View attachment 3070521
Tanganyika ni nchi huru, Zanzibar ni nchi huru.Lete ushahid nipp hapa kushuhudia
Muungano wa kijinga wa Nyerere! Muungano wa kweli ni Canada na Quebec! Unaitwa Canada basi hamna huu upuuzi!Mshaambiwa hiyo ni Nchi nyingine, Ubwege wa kwenu Tanganyika msiwapelekee wengine
Si kila MTanzania ni mTanganyika?Kila mzanzibar ni mtanzania lakini kila mtanzania sio mzanzibar.
Ndio ujue sasa kuna mmoja anamng'ang'ania mwenzie ila mwenzie hamtaki.Ikiwa Wazanzibari wanaruhusiwa kuapply kazi za Tanganyika, na wengi tu wameajiriwa huku Tanganyika, ni kwa nini ajira za Zanzibar ziwekewe kigezo cha "Awe Mzanzibari"?
Mbona ajira za Tangayika zikitoka kigezo kinakuwa "Awe Mtanzania" (Haijalishi anatoka Tanganyika au Zanzibar).
Hii kitu usoni watu wanaweza wakawa wanacheka lakini mioyoni mwao hawaifurahii kabisa.
HII NI RACISM YA WAZI KABISA.
Ili nchi iweze kuwa moja na kuondoa racism, inabidi kuwepo na mchanganyiko wa pande zote 2, wa huku awe huru kwenda kule, na wa kule aje huku bila kuwepo ubaguzi wa aina yoyote ile.
Mbali na hapo, huu Muungano ni suala la muda tu, hautafikisha hata miaka 100 utavunjikia mbali.
View attachment 3070521
SISI TU MAFALAIkiwa Wazanzibari wanaruhusiwa kuapply kazi za Tanganyika, na wengi tu wameajiriwa huku Tanganyika, ni kwa nini ajira za Zanzibar ziwekewe kigezo cha "Awe Mzanzibari"?
Mbona ajira za Tangayika zikitoka kigezo kinakuwa "Awe Mtanzania" (Haijalishi anatoka Tanganyika au Zanzibar).
Hii kitu usoni watu wanaweza wakawa wanacheka lakini mioyoni mwao hawaifurahii kabisa.
HII NI RACISM YA WAZI KABISA.
Ili nchi iweze kuwa moja na kuondoa racism, inabidi kuwepo na mchanganyiko wa pande zote 2, wa huku awe huru kwenda kule, na wa kule aje huku bila kuwepo ubaguzi wa aina yoyote ile.
Mbali na hapo, huu Muungano ni suala la muda tu, hautafikisha hata miaka 100 utavunjikia mbali.
View attachment 3070521
Maana yake Mzanzibar ni Mtoto wa Baba wawili na Mama wawili Ila Mtanzania Bara ni Mtoto wa Baba mmoja na Mama mmoja, sijui unanielewa hapo?Kila mzanzibar ni mtanzania lakini kila mtanzania sio mzanzibar.
Tanganyika kimsingi imekufa, basically kunaSi kila MTanzania ni mTanganyika?