Ajira za bara tunaomba wote, lakini za Zanzibar wanataka Mzanzibar pekee
Ikiwa Wazanzibari wanaruhusiwa kuapply kazi za Tanganyika, na wengi tu wameajiriwa huku Tanganyika, ni kwa nini ajira za Zanzibar ziwekewe kigezo cha "Awe Mzanzibari"?

Mbona ajira za Tangayika zikitoka kigezo kinakuwa "Awe Mtanzania" (Haijalishi anatoka Tanganyika au Zanzibar).

Hii kitu usoni watu wanaweza wakawa wanacheka lakini mioyoni mwao hawaifurahii kabisa.

HII NI RACISM YA WAZI KABISA.

Ili nchi iweze kuwa moja na kuondoa racism, inabidi kuwepo na mchanganyiko wa pande zote 2, wa huku awe huru kwenda kule, na wa kule aje huku bila kuwepo ubaguzi wa aina yoyote ile.

Mbali na hapo, huu Muungano ni suala la muda tu, hautafikisha hata miaka 100 utavunjikia mbali.

View attachment 3070521
Nyi wajinga hamuishi tu!!?.. hakuna tanganyika bali kuna zanzibar,rais wa tanganyika nani!?
 
Nani anayelazimisha muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ?
 
Ikiwa Wazanzibari wanaruhusiwa kuapply kazi za Tanganyika, na wengi tu wameajiriwa huku Tanganyika, ni kwa nini ajira za Zanzibar ziwekewe kigezo cha "Awe Mzanzibari"?

Mbona ajira za Tangayika zikitoka kigezo kinakuwa "Awe Mtanzania" (Haijalishi anatoka Tanganyika au Zanzibar).

Hii kitu usoni watu wanaweza wakawa wanacheka lakini mioyoni mwao hawaifurahii kabisa.

HII NI RACISM YA WAZI KABISA.

Ili nchi iweze kuwa moja na kuondoa racism, inabidi kuwepo na mchanganyiko wa pande zote 2, wa huku awe huru kwenda kule, na wa kule aje huku bila kuwepo ubaguzi wa aina yoyote ile.

Mbali na hapo, huu Muungano ni suala la muda tu, hautafikisha hata miaka 100 utavunjikia mbali.

View attachment 3070521

Akivuka maji tunaajiri watanzania. Ukiwa kule ni wazanzibar tu. lakini kupanga ni kuchagua. Hakuna namna
 
Nani anayelazimisha muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ?

Wazungu. Ndio maana radical, Lumumba was killed in DRC. Hapa waliandaa mazingira ya Tanganyika iikumbatie Zanzibar.Karume akapata wasiwasi...maana matapeli wanasema wasiwasi nayo akili.
Akasalimu amri hakuwa na namna.
 
Ikiwa Wazanzibari wanaruhusiwa kuapply kazi za Tanganyika, na wengi tu wameajiriwa huku Tanganyika, ni kwa nini ajira za Zanzibar ziwekewe kigezo cha "Awe Mzanzibari"?

Mbona ajira za Tangayika zikitoka kigezo kinakuwa "Awe Mtanzania" (Haijalishi anatoka Tanganyika au Zanzibar).

Hii kitu usoni watu wanaweza wakawa wanacheka lakini mioyoni mwao hawaifurahii kabisa.

HII NI RACISM YA WAZI KABISA.

Ili nchi iweze kuwa moja na kuondoa racism, inabidi kuwepo na mchanganyiko wa pande zote 2, wa huku awe huru kwenda kule, na wa kule aje huku bila kuwepo ubaguzi wa aina yoyote ile.

Mbali na hapo, huu Muungano ni suala la muda tu, hautafikisha hata miaka 100 utavunjikia mbali.

View attachment 3070521
Suluhisho la tatizo hili ni aidha kuunda Serikali moja tu ya Muungano au kuuvunja Muungano wenyewe ili kila upande ubaki na hamsini zake.
 
Lete ushahid nipp hapa kushuhudia
Tanganyika ni nchi huru, Zanzibar ni nchi huru.

Tanganyika na Zanzibar ziliungana 1964 na kuunda JMT.

Hong-Kong sio nchi huru ni sehemu ya china iliyokuwa koloni la Uingereza kwa kipindi fulani cha miaka baada ya muda mrefu ilirudishwa chini ya nchi ya China.

Hong-Kong kama ilivyo Macau koloni la ureno hizi sehemu zote mbili zimepewa kiwango cha juu cha uhuru cha kujitawala tofauti na maeneo mengine ya uchina ni kwa kipindi fulani cha miaka.
 
Ikiwa Wazanzibari wanaruhusiwa kuapply kazi za Tanganyika, na wengi tu wameajiriwa huku Tanganyika, ni kwa nini ajira za Zanzibar ziwekewe kigezo cha "Awe Mzanzibari"?

Mbona ajira za Tangayika zikitoka kigezo kinakuwa "Awe Mtanzania" (Haijalishi anatoka Tanganyika au Zanzibar).

Hii kitu usoni watu wanaweza wakawa wanacheka lakini mioyoni mwao hawaifurahii kabisa.

HII NI RACISM YA WAZI KABISA.

Ili nchi iweze kuwa moja na kuondoa racism, inabidi kuwepo na mchanganyiko wa pande zote 2, wa huku awe huru kwenda kule, na wa kule aje huku bila kuwepo ubaguzi wa aina yoyote ile.

Mbali na hapo, huu Muungano ni suala la muda tu, hautafikisha hata miaka 100 utavunjikia mbali.

View attachment 3070521
Ndio ujue sasa kuna mmoja anamng'ang'ania mwenzie ila mwenzie hamtaki.

Inshort serikali ziko mbili tu, serikali ya muungano na serikali ya Zanzibar, kwahiyo hakuna serikali ya Tanganyika nadhani ndio maana mnakosa wakuwatetea.
 
Ikiwa Wazanzibari wanaruhusiwa kuapply kazi za Tanganyika, na wengi tu wameajiriwa huku Tanganyika, ni kwa nini ajira za Zanzibar ziwekewe kigezo cha "Awe Mzanzibari"?

Mbona ajira za Tangayika zikitoka kigezo kinakuwa "Awe Mtanzania" (Haijalishi anatoka Tanganyika au Zanzibar).

Hii kitu usoni watu wanaweza wakawa wanacheka lakini mioyoni mwao hawaifurahii kabisa.

HII NI RACISM YA WAZI KABISA.

Ili nchi iweze kuwa moja na kuondoa racism, inabidi kuwepo na mchanganyiko wa pande zote 2, wa huku awe huru kwenda kule, na wa kule aje huku bila kuwepo ubaguzi wa aina yoyote ile.

Mbali na hapo, huu Muungano ni suala la muda tu, hautafikisha hata miaka 100 utavunjikia mbali.

View attachment 3070521
SISI TU MAFALA
 
Kila mzanzibar ni mtanzania lakini kila mtanzania sio mzanzibar.
Maana yake Mzanzibar ni Mtoto wa Baba wawili na Mama wawili Ila Mtanzania Bara ni Mtoto wa Baba mmoja na Mama mmoja, sijui unanielewa hapo?
 
Wazenji ni special group lazima wapewe kipaumbele kama huku bara tunavyowapa kipaumbele wanawake na watoto
 
Back
Top Bottom