Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Kama kweli basi kuna haja ya kureview upya policy za kuajiriTuungane tudai serikali ya Tanganyika, ili vya Tanganyika vibaki kuwa vya watanganyika tuu, bila hivyo wazanzibari wataendelea kutumbua na vya watanganyika kupitia huu muondo wa muungano wa serikali mbili wakati vya Zanzibar wakila wao pekeyao