😆😆😆Hiyo lugha nzuri ndiyo iliyotufikisha hapa,, ubaya ubwela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆Hiyo lugha nzuri ndiyo iliyotufikisha hapa,, ubaya ubwela
Zanzibar ni nchiHapana. Ni vice versa. Zanzibar sio nchi ni kama kamkoa ka morogoro tu.
Mimi naona Tu miaka 200 badae huko sijui itakuwaje
Serikali ya Zanzibar Juzi pia ilisema kuna wahamiaji haramu wengi kutoka Tanganyika (Tanzania Bara)Suala hili la Muungano Lina kizungumkuti kikubwa sana, ni mtu mwendawazimu tu ndiye ambaye anaweza kulielewa vizuri.
Kuna mbunge mmoja kutoka Zanzibar alitoa Hoja bungeni anataka Watanganyika waingie Zanzibar kwa Viza, Sasa unajiuliza ;Je, Wazanzibari nao waingie Tanganyika kwa Visa? Kama jibu ni ndiyo, Kuna maswali mengine mengi sana yaliyo magumu yanaibuka. Mathalani, tukikubaliana kuweka utaratibu wa Viza kwa kuingia Zanzibar na Tanganyika, maswali yatayoibuka ni:- Je, endapo kama sisi Watanganyika tutaamua kuwanyima Viza Wazanzibari hali itakuwaje kwa wale Wazanzibari ambao wanafanya kazi katikà Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa upande wa huku Tanganyika?? Kwa Mfano, Watanganyika tukiamua kumnyima Viza huyu Rais aliyopo madarakani ambayo ni Mzanzibari ili asiingie Tanganyika, Je, atawezaje kuiongoza nchi hii ukizingatia kwamba atalazimika kubaki Zanzibar pekee bila kuingia Tanganyika kutokana na kukosa Viza ya kumruhusu kuingia ndani ya Ardhi ya Tanganyika?????
Yaani Muungano huu ni Vurugu mechi!
Mzanzibar ni mtu aishiye zanzibar na Upatkanaji wake umeelezwa kwa Sheria namba 5 ya mwaka 1985 au Maarufu Sheria ya MzanzibariMzanzibari ndo nani wakuuu
Fei TotoMzanzibari ndo nani wakuuu
Mbona naye alijisifu kupata kitambulisho chake cha uzanzibari.
Kwahiyo nikienda kuishi Zanzibar nitakua mzanzibari!Mzanzibar ni mtu aishiye zanzibar na Upatkanaji wake umeelezwa kwa Sheria namba 5 ya mwaka 1985 au Maarufu Sheria ya Mzanzibari
Anajutia chokochoko aliyoisababisha jana, wenzake walimtia makonzi.Fei Toto
Hivi umesoma hata alichoandika jamaa au umeconent tu?hamia zenj mkuu
nilimaliza chuo niliambiwa niwe na uzoefu wa miaka 10, sasa nina uzoefu wa miaka kumi naambiwa niwe below 45,Kama kweli basi kuna haja ya kureview upya policy za kuajiri
Kama wewe hutaki wengine wanahitajiKwani kuna mtanganyika anaetaka kufanya kazi pemba? Unguja?
Zanzibar ni nchi
Miongoni mwa Vigezo vya Sehemu Mahalia Kuitwa Nchi, CDF ni kigezo Mojawapo??Wana CDF?
Hapana kuna Vigezo..Kwahiyo nikienda kuishi Zanzibar nitakua mzanzibari!
Do you know the meaning of the Union of Changu changu, chako changu!! Tanganyika is being exploited by those shameless Parasites.Inapotokea tangazo la kazi/ajira Nchini kwa maana ya huku bara tunafanya application ya tangazo husika kwa kuzingatia vigezo vya umri miaka 18 hadi 45 sifa nyingine ni kuwa mtanzania kuwa na vyeti na mambo kama hayo. So kwa kawaida watanzania wote wenye sifa na vigezo kulingana na tangazo husika tunaomba nafasi hizo.
Ila kumekuwa na utofauti zanzibar
Kwa maana linapotokea tangazo lakazi kina kuwa na vigezo vya ziada kama kitambulisho cha mkazi je hapa shida inakuwa ni nini ikiwa bara zikitangazwa nafasi za kaz tunaomba wote ikiwa tu ni watanzania na je shida ikowap upande wa zanzibar waombe wenye vitambulisho vya kule tu 🤔ðŸ˜
Pia soma;
Ajira Zanzibar ni kwa Wazanzibar pekee?
I wish ningekuwa Rais wa Tanganyika. Ningehakikisha Kupe wote wanaondoka kwenye ngozi za Watanganyika.