Ajira za bara tunaomba wote, lakini za Zanzibar wanataka Mzanzibar pekee
Suala hili la Muungano Lina kizungumkuti kikubwa sana, ni mtu mwendawazimu tu ndiye ambaye anaweza kulielewa vizuri.

Kuna mbunge mmoja kutoka Zanzibar alitoa Hoja bungeni anataka Watanganyika waingie Zanzibar kwa Viza, Sasa unajiuliza ;Je, Wazanzibari nao waingie Tanganyika kwa Visa? Kama jibu ni ndiyo, Kuna maswali mengine mengi sana yaliyo magumu yanaibuka. Mathalani, tukikubaliana kuweka utaratibu wa Viza kwa kuingia Zanzibar na Tanganyika, maswali yatayoibuka ni:- Je, endapo kama sisi Watanganyika tutaamua kuwanyima Viza Wazanzibari hali itakuwaje kwa wale Wazanzibari ambao wanafanya kazi katikà Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa upande wa huku Tanganyika?? Kwa Mfano, Watanganyika tukiamua kumnyima Viza huyu Rais aliyopo madarakani ambayo ni Mzanzibari ili asiingie Tanganyika, Je, atawezaje kuiongoza nchi hii ukizingatia kwamba atalazimika kubaki Zanzibar pekee bila kuingia Tanganyika kutokana na kukosa Viza ya kumruhusu kuingia ndani ya Ardhi ya Tanganyika?????

Yaani Muungano huu ni Vurugu mechi!
Serikali ya Zanzibar Juzi pia ilisema kuna wahamiaji haramu wengi kutoka Tanganyika (Tanzania Bara)
 
Wana CDF?
Miongoni mwa Vigezo vya Sehemu Mahalia Kuitwa Nchi, CDF ni kigezo Mojawapo??

Kwa Mujibu wa Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984 inaitambua zanzibar kama Nchi..
Screenshot_20240812_205539_Adobe Acrobat.jpg


Unafahamu Kweli Elimu ya Uraia Au sheria za Nchi za Kimataifa au Sheria za Kiutawala au Mikataba ya Jumuia ya Madola??

Kuna nchi ambazo hazina Title ya CDF ila zinaitwa Nchi..USA,UK,France,Switzerland,Russia ,China ,Germany, India na Japan...

Vipi kwakuwa na Zenyewe hazina Title ya CDF basi sio Nchi???
 
Tena wabara mlivyojazana Zanzibar inafaa mrudishwe kwenu haraka sana.

Mnajazana huko kuwaharibia Wazanzibari ustaarabu na Uislam wao tu. kama mlivyoiharibu Dar yetu njema.
 
Kwahiyo nikienda kuishi Zanzibar nitakua mzanzibari!
Hapana kuna Vigezo..
Ambazo Tutavipata kulingana na Katiba ya zanzibar ya mwaka 1984, Ibara ya 6 ibara ndogo ya 1, Ikisomwa pamoja na Sheria ya Mzanzibar
Sheria namba 5 ya mwaka 1984

Katiba
Screenshot_20240812_204042_Adobe Acrobat.jpg


Sheria ya Mzanzibar (Sheria no 5 ya mwaka 1985)

Screenshot_20240812_204918_Gallery.jpg

Screenshot_20240812_204946_Gallery.jpg

Screenshot_20240812_204959_Gallery.jpg

Screenshot_20240812_205012_Gallery.jpg


Una swali ZAIDI MKUU??
 
Inapotokea tangazo la kazi/ajira Nchini kwa maana ya huku bara tunafanya application ya tangazo husika kwa kuzingatia vigezo vya umri miaka 18 hadi 45 sifa nyingine ni kuwa mtanzania kuwa na vyeti na mambo kama hayo. So kwa kawaida watanzania wote wenye sifa na vigezo kulingana na tangazo husika tunaomba nafasi hizo.

Ila kumekuwa na utofauti zanzibar
Kwa maana linapotokea tangazo lakazi kina kuwa na vigezo vya ziada kama kitambulisho cha mkazi je hapa shida inakuwa ni nini ikiwa bara zikitangazwa nafasi za kaz tunaomba wote ikiwa tu ni watanzania na je shida ikowap upande wa zanzibar waombe wenye vitambulisho vya kule tu 🤔😭

Pia soma;

Ajira Zanzibar ni kwa Wazanzibar pekee?
Do you know the meaning of the Union of Changu changu, chako changu!! Tanganyika is being exploited by those shameless Parasites.
 
Unaweza kuzani vijana wa Zanzibar wote wana ajira kwakua ni kadogo kumbe ni unazani 😅😅vilio kila kona
 
Back
Top Bottom