Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
Halafu mpwayungu mbona umetulia sana leo hujatuambia matokeo ya TPA au wewe ndio wale wana jf wenye zero kule chini wenye namba za kufatana [emoji1787][emoji1787]Huwezi kuajiliwa serikalini kama hujapitia law school na kupata muhuri _advocate. Uliza ujue mengi utaonekana wa Kuja