Ajira za Kada ya Sheria

Ajira za Kada ya Sheria

Huwezi kuajiliwa serikalini kama hujapitia law school na kupata muhuri _advocate. Uliza ujue mengi utaonekana wa Kuja
Halafu mpwayungu mbona umetulia sana leo hujatuambia matokeo ya TPA au wewe ndio wale wana jf wenye zero kule chini wenye namba za kufatana [emoji1787][emoji1787]
 
Mm binafs nin swal Kama lako sheria na kilimo vip hapo
Kila siku wanaajiriwa ila mmoja mmoja halmashauri na taasisi za serikali. Hizi sekta haziajiri kwa mkupuo kama afya na elimu sababu. Mfano kila halmashauri ikipewa nafasi 1 ya afisa kilimo zimeisha. Hapo bado kuna shahada, stashahada na astashahada. Mf. Maafisa watendaji ni watu wa kada ya sheria mara nyingi na zimetangazwa nyingi leo
 
Kila siku wanaajiriwa ila mmoja mmoja halmashauri na taasisi za serikali. Hizi sekta haziajiri kwa mkupuo kama afya na kilimo sababu. Mfano kila halmashauri ikipewa nafasi 1 ya afisa kilimo zimeisha. Hapo bado kuna shahada, stashahada na astashahada. Mf. Maafisa watendaji ni watu wa kada ya sheria mara nyingi na zimetangazwa nyingi leo
Ajira ni kibao na zinaendelea kutangazwa huko Halmashauri mbalimbali kwa taarifa zaidi tembelea Uzi wangu nilioupost jana.
But hizo za Kilimo na mifugo ni nyingi ziko zaidi ya 1500 tena zaidi ya hzi za Sheria zinazotangazwa Sasa.
Sasa kwa idadi hyo siwezi kukubali kuwa Kila Halmashauri watoe nafasi mojamoja.. hiz za Sasa(watendaji mitaa) Kila Halmashauri inatangaza Ajira zaidi ya 10
 
Ajira ni kibao na zinaendelea kutangazwa huko Halmashauri mbalimbali kwa taarifa zaidi tembelea Uzi wangu nilioupost jana.
But hizo za Kilimo na mifugo ni nyingi ziko zaidi ya 1500 tena zaidi ya hzi za Sheria zinazotangazwa Sasa.
Sasa kwa idadi hyo siwezi kukubali kuwa Kila Halmashauri watoe nafasi mojamoja.. hiz za Sasa(watendaji mitaa) Kila Halmashauri inatangaza Ajira zaidi ya 10
Duuh,IVI WATU Wa MIPANGO YA MAENDELEO Ajira Zao vipi? YANI MAAFSA MIPANGO AU WENYEWE HAWAMO KWENYE HIYO MIGAO YA IZO AJIRA ZA SAMIA
 
Wewe unafit hizi za Serikali za mitaa Omba tu.. Maafisa mipango Ajira zake ni issue coz hawa watu wako mijini na hawataki kutoka Wala kustaafu dadeq😁😁
Duuh,IVI WATU Wa MIPANGO YA MAENDELEO Ajira Zao vipi? YANI MAAFSA MIPANGO AU WENYEWE HAWAMO KWEzaE HIYO MIGAO YA IZO AJIRA ZA SAMIA
 
Tuombaane tu mkuu, hili Shavu la mwaka huu tulipate, Always God is Good. Nawe ni Team SUA na je ulishakula Shavu au bado unasikilia..?
 
Back
Top Bottom