Ajira za Makocha wa Mpira wa miguu ni ngumu

Ajira za Makocha wa Mpira wa miguu ni ngumu

Wilson Gamba

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
808
Reaction score
878
Kati ya vitu vinavyoniletea shida ni Ajira za Hawa waheshimiwa na walimu wengine kwa ujumla.Ebu tufikilie hapa kocha au mwl anapewa timu na anafanya kwa kadri ya uwezo wake na mwisho wa siku yeye haingii uwanjani kucheza na Yale alowaelekeza wachezaji wake wakishindwa kutekeleza zigo linamwangukia yeye.Hiyo siyo haki.

Ni Kama mwl amfundishe mwanafunzi darasani na ampe kila kitu kulingana na mtaala lakini pia akishindwa kujibu maswali au kufeli huyohuyo mwl anatupiwa lawama na jamii,nashindwa kabisa kulielewa hili.

Nawashauri pia mashabiki Mara nyingi pia tuna kuwa na kelele nyingi na Mara nyingi Ndo chanzo Cha hili.Mara nyingi tunataka furaha tu kwenye ushabiki na kusahau maumivu pia Ni sehemu ya Mpira wa miguu.

Hii siyo haki kwa hii tasnia na ni kama ulimwengu mzima mashabiki wanafanana. Tukumbuke Hawa Makocha wanafamilia pia zinawategemea.

So sad.
 
Kuna muda unafungwa mnakubali kama kwamba ni game. Lakini si kufungwa kwa uzembe na kutowajibika ipasavyo kwa wahusika.
 
Ni kazi ngumu Sana,mtu haingii uwanjani wewe huoni pia kuwa wachezaji wanaweza kufanya chochote ili afukuzwe? Wao wangeanza na wachezaji
Welcome to the world brother, yes wachezaji wanaweza kukufitini ufukuzwe.

Hiyo kazi ina ushindani usio wa kawaida. Best way ni kujenga profile kubwa asap ili hata ukiwa fired kuwa hired ni chap
 
Tungekua active hivyo katika maamuzi ya viongozi wa serikali leo tungekua mbali sana.Maana akizingua tu watu tunafukuza.
 
Coaches are hired to be fired.

Ni hivi, kati ya watu wanakula hela za bure basi ni makocha. Unasaini mkataba miaka 3 unafanya kazi mwaka mmoja unafukuzwa lakini unalipwa hela ya miaka 3 yote. Then unaenda team nyingine unapiga hela.

Kiufupi, makocha wanafurahia sana kufukuzwa. Wewe fuatilia utajua hili.
 
Kwa kweli ni ngumu,,,na huo ugumu ndio unasababisha malipo yao kuwa mazuri

Mfano,hii case ya Robertinho kuvunjiwa mkataba atakuwa amevuta mkwanja wa maana,,na ndani ya miezi michache tu atakuwa ameshapata timu nyingine

All in all,, wenyewe wanasema " Coaches are hired to be fired"
 
Kati ya vitu vinavyoniletea shida Ni Ajira za Hawa waheshimiwa na walimu wengine kwa ujumla.Ebu tufikilie hapa kocha au mwl anapewa timu na anafanya kwa kadri ya uwezo wake na mwisho wa siku yeye haingii uwanjani kucheza na Yale alowaelekeza wachezaji wake wakishindwa kutekeleza zigo linamwangukia yeye.Hiyo siyo haki.Ni Kama mwl amfundishe mwanafunzi darasani na ampe kila kitu kulingana na mtaala lakini pia akishindwa kujibu maswali au kufeli huyohuyo mwl anatupiwa lawama na jamii,nashindwa kabisa kulielewa hili.

Nawashauri pia mashabiki Mara nyingi pia tuna kuwa na kelele nyingi na Mara nyingi Ndo chanzo Cha hili.Mara nyingi tunataka furaha tu kwenye ushabiki na kusahau maumivu pia Ni sehemu ya Mpira wa miguu.Hii siyo haki kwa hii tasnia ,na Ni Kama ulimwengu mzima mashabiki wanafanana.Tukumbuke Hawa Makocha wanafamilia pia zinawategemea.So sad.
Siyo kocha tu. Top management ndo zilivyo all are in contract. You don't perform you are fired.

Ndo maana directors na ma CEO ni wakali kama pilipili
 
Kati ya vitu vinavyoniletea shida Ni Ajira za Hawa waheshimiwa na walimu wengine kwa ujumla.Ebu tufikilie hapa kocha au mwl anapewa timu na anafanya kwa kadri ya uwezo wake na mwisho wa siku yeye haingii uwanjani kucheza na Yale alowaelekeza wachezaji wake wakishindwa kutekeleza zigo linamwangukia yeye.Hiyo siyo haki.Ni Kama mwl amfundishe mwanafunzi darasani na ampe kila kitu kulingana na mtaala lakini pia akishindwa kujibu maswali au kufeli huyohuyo mwl anatupiwa lawama na jamii,nashindwa kabisa kulielewa hili.

Nawashauri pia mashabiki Mara nyingi pia tuna kuwa na kelele nyingi na Mara nyingi Ndo chanzo Cha hili.Mara nyingi tunataka furaha tu kwenye ushabiki na kusahau maumivu pia Ni sehemu ya Mpira wa miguu.Hii siyo haki kwa hii tasnia ,na Ni Kama ulimwengu mzima mashabiki wanafanana.Tukumbuke Hawa Makocha wanafamilia pia zinawategemea.So sad.
Screenshot_20231107-190036.jpg
 
Kuna muda unafungwa mnakubali kama kwamba ni game. Lakini si kufungwa kwa uzembe na kutowajibika ipasavyo kwa wahusika.
Kuna mechi ukiangalia unaona kabisa mpira umepigwa na hata mkifungwa unaona mpira umechezwa na hamna lawama, lakini sio hii butua butua ya simba kila mechi
 
Coaches are hired to be fired.

Ni hivi, kati ya watu wanakula hela za bure basi ni makocha. Unasaini mkataba miaka 3 unafanya kazi mwaka mmoja unafukuzwa lakini unalipwa hela ya miaka 3 yote. Then unaenda team nyingine unapiga hela.

Kiufupi, makocha wanafurahia sana kufukuzwa. Wewe fuatilia utajua hili.
Wanafurahia kufukuzwa wakati profile inashuka?
 
Kati ya vitu vinavyoniletea shida ni Ajira za Hawa waheshimiwa na walimu wengine kwa ujumla.Ebu tufikilie hapa kocha au mwl anapewa timu na anafanya kwa kadri ya uwezo wake na mwisho wa siku yeye haingii uwanjani kucheza na Yale alowaelekeza wachezaji wake wakishindwa kutekeleza zigo linamwangukia yeye.Hiyo siyo haki.

Ni Kama mwl amfundishe mwanafunzi darasani na ampe kila kitu kulingana na mtaala lakini pia akishindwa kujibu maswali au kufeli huyohuyo mwl anatupiwa lawama na jamii,nashindwa kabisa kulielewa hili.

Nawashauri pia mashabiki Mara nyingi pia tuna kuwa na kelele nyingi na Mara nyingi Ndo chanzo Cha hili.Mara nyingi tunataka furaha tu kwenye ushabiki na kusahau maumivu pia Ni sehemu ya Mpira wa miguu.

Hii siyo haki kwa hii tasnia na ni kama ulimwengu mzima mashabiki wanafanana. Tukumbuke Hawa Makocha wanafamilia pia zinawategemea.

So sad.
Fuatilia al ahly wamefukuza makocha wangapi karibuni halafu urudi hapa kwenye thread ile sio academy ni senior team.
 
Kuna mechi ukiangalia unaona kabisa mpira umepigwa na hata mkifungwa unaona mpira umechezwa na hamna lawama, lakini sio hii butua butua ya simba kila mechi
Sure.


Shida ni kwamba hata ukifungwa basi unatazama mmefungwaje. Sio unafungwa kwa sababu ya pira bovu.
 
Coaches are hired to be fired.

Ni hivi, kati ya watu wanakula hela za bure basi ni makocha. Unasaini mkataba miaka 3 unafanya kazi mwaka mmoja unafukuzwa lakini unalipwa hela ya miaka 3 yote. Then unaenda team nyingine unapiga hela.

Kiufupi, makocha wanafurahia sana kufukuzwa. Wewe fuatilia utajua hili.
Kuna kocha kule ulaya ilikuwa ndio mambo yake hayo anasaini mkataba mrefu halafu baadae anafanya madudu anakula mapesa kwa hyo sometimes wanachomesha kusudi na wanapiga hela kweli.
 
Back
Top Bottom