Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 52,812 Reaction score 71,392 Nov 7, 2023 #21 Ndio hivyo, wanaajiriwa ili wafukuzwe, ukocha sio rahisi
Synod JF-Expert Member Joined Oct 10, 2016 Posts 4,143 Reaction score 4,180 Nov 7, 2023 #22 pwilo said: Kuna kocha kule ulaya ilikuwa ndio mambo yake hayo anasaini mkataba mrefu halafu baadae anafanya madudu anakula mapesa kwa hyo sometimes wanachomesha kusudi na wanapiga hela kweli. Click to expand... Sahihi kabisa, na vile ulaya wana utaratibu wa kusaini mikataba ya mda mrefu. Makocha wanapiga hela za bure tu.
pwilo said: Kuna kocha kule ulaya ilikuwa ndio mambo yake hayo anasaini mkataba mrefu halafu baadae anafanya madudu anakula mapesa kwa hyo sometimes wanachomesha kusudi na wanapiga hela kweli. Click to expand... Sahihi kabisa, na vile ulaya wana utaratibu wa kusaini mikataba ya mda mrefu. Makocha wanapiga hela za bure tu.