DOMINGO THOMAS
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 365
- 365
- Thread starter
-
- #181
😅.! CongratsBaada ya kuja kupata training ya namna ya kuandika CV na Cover Letter sijawahi kukosa kuitwa kwenye interview na nilipata kazi kirahisi sana.
Enzi hizo lakini sasa mie ni mkongwe.
Huyo mdau angekupa vitu vingi sana kama ungekuwa mtulivu...lkn nakuona unaenda nae sambamba kama vile huna unacho hitaji kwake wakati umekuja kuomba ushauri na ajira bado hujapata.....punguza ujuaji tulia upate kitu.😅.! Congrats
Sasa c jambo la kujiongeza tuu hapo kama hakuna sehemu ya cv c Unaweka kwenye barua. Au unadhani wote tunaokoment n waalimu.?Aandike kwenye CV gani ?
Kumbe kuna watu wageni kabisa kwenye hizi applications halafu wanatoa ushauri kana kwamba wanajuwa sana haya mambo.
Mkuu hakuna sehemu ya kuweka CV usimchanganye atakuja kukuuliza CV hiyo aweke wapi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa sijui utamjibuje ?Kuandika kwenye barua hapo sawa. Ila sidhani kama wanasoma kila barua.
Kuna barua walipewa toka tamisema kupitia kwa mkurugenziHuyo Jamaa ni Mjuaji..!!
Zinakuwaje...!?Kuna barua walipewa toka tamisema kupitia kwa mkurugenzi
Unajaza kama ulivyo iandika hapo!Waliosoma diploma in early childhood education wanajazaje pale sehemu ya course aliyosoma?
Huwezi weka barua na CV, Sehemu waliyo kuambia uweke barua onlySasa c jambo la kujiongeza tuu hapo kama hakuna sehemu ya cv c Unaweka kwenye barua. Au unadhani wote tunaokoment n waalimu.?
Aliye kuambia mimi ni Unemployed ni nani..!?Huyo mdau angekupa vitu vingi sana kama ungekuwa mtulivu...lkn nakuona unaenda nae sambamba kama vile huna unacho hitaji kwake wakati umekuja kuomba ushauri na ajira bado hujapata.....punguza ujuaji tulia upate kitu.
Mkuu si utoe mwongozo au sample skeleton ya CV+Cover letter, natamani kujifunza mapya.Baada ya kuja kupata training ya namna ya kuandika CV na Cover Letter sijawahi kukosa kuitwa kwenye interview na nilipata kazi kirahisi sana.
Enzi hizo lakini sasa mie ni mkongwe.
mbona tayariMajina ya short list lini yatatoka
Na watu wapo mzigoni tangu Januarymbona tayari
Na waombaji wenye ulemavu inakuajeUnajaza kama ulivyo iandika hapo!
Unajaza kama ulivyo iandika hapo!
Hili nina-kuja na uzi wake soonMkuu si utoe mwongozo au sample skeleton ya CV+Cover letter, natamani kujifunza mapya.
Nenda kwenye Taarifa BinafsiNawezaje kubadilisha namba ya simu kwenye mfumo wa kuomba Ajira?
Kwenye kujaza Taarifa kunasehemu ya kuweka ulemavu ulio nao.Na waombaji wenye ulemavu inakuaje