Dogo Anatajira ku apply hajui?Wakuu Kuna dogo namfanyia maombi, alishawahi kuomba hapo kabla pia, lakini Sasa nikiingiza username yake na password naandikiwa unauthorized user, tatizo litakuwa nn hapo? View attachment 2585687
Certified Copies.Ebu mnieleweshe tunaweka certified copy ya vyeti au vyeti og
Ebu mnieleweshe tunaweka certified copy ya vyeti au vyeti og
Hakuna mambo ya muhuri wa mwanasheria
Shukurani mkuuCertified Copies.
Kwani hawajatoa Muongozo mkuu namna ya kutuma maombi,kwenye swala LA lugha huwa nafasi nyingi wanasema iandikwe kwa kiswahili ama kingereza1. Barua tuna andika kwa mkono au computer?
2. Barua inakuwa ya kiswahili au Kingereza?
Ndio hakuna wamejaaWadau mliopitia kwenye hzo shule hakuna uhitaji wa walimu wa history geo na kiswahili kweli?
1: Andika unavyoona inafaa lakini hakikisha umeisaini1. Barua tuna andika kwa mkono au computer?
2. Barua inakuwa ya kiswahili au Kingereza?
Kikubwa sahihiKwenye tangazo hawajaandika lugha wala kama ni handwrite au kutype
Jibu swaliKwani hawajatoa Muongozo mkuu namna ya kutuma maombi,kwenye swala LA lugha huwa nafasi nyingi wanasema iandikwe kwa kiswahili ama kingereza
Barua zinaandikwa kwa typewriter na carbon copies mbili1. Barua tuna andika kwa mkono au computer?
2. Barua inakuwa ya kiswahili au Kingereza?
Kwaiyo nini tunafanya..!?Kwenye tangazo hawajaandika lugha wala kama ni handwrite au kutype
Asante1: Andika unavyoona inafaa lakini hakikisha umeisaini
2: Lugha ni chaguo lako kiswahili au kiingereza
HayaBarua zinaandikwa kwa typewriter na carbon copies mbili