Joan lewis
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 993
- 1,463
Hmmm! Sasa kwa wanafunzi hawa wa. Com sijui itakuwaje!Elimu ya cheti haiwezi kufutwa kwakuwa ndilo chaka la serikali kujipatia umaarufu wa kisiasa kwamba inatoa ajira Kwa vijana na isitoshe huko ndiko inajipatia cheap labours wanaofanya kazi kubwa Kwa malipo kiduchu.
Ni kusema tu ,
Buriani Elimu Tz. !!