Kwaiyo nasahihi mtoto chini ya miaka 13 kumuona stend akifanya Kaz za ukondakta na upiga debeMimi napingana na wewe, serikali imeshindwa kupunguza umasikini na kutengeneza mifumo bora ya maisha kwa watu wake. Hao watoto wanafanya Kazi kwa sababu ya umasikini hawana wa kumtegemea sababu Hakuna mazingira wezeshi Ili wajimudu. Kwa hao wa magarage baadae ndio huwa mafundi wakubwa ikiwemo kuja kumiliki magarage na biashara za magari. Nani kakudanganya kwamba mfumo wa kwenda shule ndio jawabu la maisha.
Inasikitisha kwa kwelNi umasikini tu.Mzazi hawezi kumruhusu mtoto wake awe kijakazi(siyo mfanyakazi).Umasikini umetamalaki kule.Unayemuona mtoto ndiyo anatumikishwa ili aihudumie familia yake.
Sasa afanyaje wakati inatakiwa lazima dukani audhurie kupata dawa ya tumbo.Kwaiyo nasahihi mtoto chini ya miaka 13 kumuona stend akifanya Kaz za ukondakta na upiga debe
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Sasa kama wanapata pesa si ndo vizuri zaidi kuliko tuliokuwa tunafanya bure!Wewe ulikuwa unafanya Kaz za nyumban unasaidia lakin hawa wanafanya kwa ujira
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Lakin kumbuka wanakosa haki ya kupata elimu msingiSasa kama wanapata pesa si ndo vizuri zaidi kuliko tuliokuwa tunafanya bure!
Ebwanaaa eeeh nipe location ya chimbo hilo😎Kuna mitaa fulani pale Dom ukikatiza usiku unakuta vitoto havina chuchu wala siti eti nao vinauza...!
Lakini nadhani yote ni dalili za ugumu wa maisha!
Mi nadhani kwa umri mdogo kushinda garage au migahawani ni bora kuliko kung'ang'ana na elimu ambayo baada ya kuhitimu atalazimika kurudi kufanya hizo kazi tena maana ajira hakuna wala mikopo ya kuwawezesha.Mimi nadhani huko ndiko kuwafanya waje wawe majambazi! Elimu sahihi ndiyo njia nzuri inayoweza kuwakomboa. Hivyo vibarua vya muda vitaisha au havitakimu mahitaji yao halafu wataingia mitaani kufanya ujambazi na umalaya.
Tatizo kubwa tulilonalo Tanzania ni kwamba watu wengi wanaamini kuwa wanaenda shule ili kuajiriwa. Siwalaumu sana kwani hii ni mindset ambayo imejengeka siku nyingi kutokana na mfumo wetu wa elimu na maisha kwa ujumla. Ndiyo maana shule nyingi unakuta watu ''wanasomea mitihani'' kwa kukariri i.e. wanakariri ili waweze kupata maksi za juu kwenye mitihani. Bado mimi nasimamia kwenye dhana kwamba mtu akisoma elimu sahihi na akaelimika badala ya kukariri anakuwa na uwezo mkubwa zaidi wa kupambana na maisha kuliko mtu ambaye hajasoma au ameishia madarasa ya chini.Mi nadhani kwa umri mdogo kushinda garage au migahawani ni bora kuliko kung'ang'ana na elimu ambayo baada ya kuhitimu atalazimika kurudi kufanya hizo kazi tena maana ajira hakuna wala mikopo ya kuwawezesha.
Huyo mtoto uliyemuona garage baada ya miaka 3 unauwezo wa kufumua na kuifuma injini ya landcruiser na akadaka mpunga wake.!
Upo sahihi, elimu ni nzuri na muhimu ila sio ya elimu yetu inayoongozwa na mawaziri zezeta wanawaza upigaji badala ya kuboresha mifumo ya elimu.Tatizo kubwa tulilonalo Tanzania ni kwamba watu wengi wanaamini kuwa wanaenda shule ili kuajiriwa. Siwalaumu sana kwani hii ni mindset ambayo imejengeka siku nyingi kutokana na mfumo wetu wa elimu na maisha kwa ujumla. Ndiyo maana shule nyingi unakuta watu ''wanasomea mitihani'' kwa kukariri i.e. wanakariri ili waweze kupata maksi za juu kwenye mitihani. Bado mimi nasimamia kwenye dhana kwamba mtu akisoma elimu sahihi na akaelimika badala ya kukariri anakuwa na uwezo mkubwa zaidi wa kupambana na maisha kuliko mtu ambaye hajasoma au ameishia madarasa ya chini.
Mkuu unazan Nini kikifanyika basi kitaboresha elimu yetuUpo sahihi, elimu ni nzuri na muhimu ila sio ya elimu yetu inayoongozwa na mawaziri zezeta wanawaza upigaji badala ya kuboresha mifumo ya elimu.
Juzi nilikua nawaza mwanangu akimaliza hii form four nimpeleke geleji akacheze na spana.
Kuanzia 18 kwa muujibu wa sheriaLabda useme ni umri gan wa kuajiriwa
Turudishe masomo ya msingi kama vilie kilimo, biashara, stadi za kazi na namna ya ufundishaji ubadilike.Mkuu unazan Nini kikifanyika basi kitaboresha elimu yetu
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Bas hakuna shuda hapo, KIKUBWA maadili yazngatiwe TU, swala la umri halina ishu yyte kazn
Umepotea mumy! Kimfano bar maid wengi kwa mjini sio wenyeji ni watu kutoka mikoa mingine.Acha wafanye tu maana hili kabila linajulikana
Ahh nilisahau! Kuna wasandawe pia, uwakute wale wenye macho ya panzi wembamba flan hivi...unamjua h.mobeto? Ewaa! Wapo kama vile.. achanga na wahaya, kuna warangi na wambulu na kila kichwa kina bei yake. Hapa mjini raha saana!!Umepotea mumy! Kimfano bar maid wengi kwa mjini sio wenyeji ni watu kutoka mikoa mingine.
Hapa uzunguni meneja wa capital ni rafikiangu sana, anao wahudumu wa kike 13 kati yao ni 4 ndo wenyeji.
Ukiwa katikati ya mji wa dodoma wagogo ni wakutafuta. Wengi ni wageni' ila wanawake wa kigogo ni shida sana...mikia!!! Wamejaaliwa'
Mkuu una hoja nzuri lakin umewakosea sana boda boda na machinga kwaingiza kwenye hayo makundi uliyozungumzia. Pengine umeajiriwa unalipwa mshahara mzur ila jua kwamba kuna boda boda na machinga wanawazidi kipato hata hao wasomi wa vyuo vikuu walioajiriwa rasmi,Unajua kila nikipiga mahesabu Tanzania ya miaka 20 ijayo naona giza. Wanaume wengi vijana 10-20 years old ama ni machinga au bodaboda au jobless kabisa na wengine ni panya road. Wasichana ni machangudoa au ma-bar maid nk. Wakija kuchanya damu hawa watazaa mafisi-road na panya-road watakuwa cha mtoto. Hawa ndiyo wanaokuja kuifanya Tanzania isitawalike kabisa kama hatua hazitachukuliwa mapema.