Ajira za Utumishi ziweke 'standard marks' kwenye usaili wa kuandika

Ajira za Utumishi ziweke 'standard marks' kwenye usaili wa kuandika

Joined
Sep 5, 2022
Posts
15
Reaction score
22
Kwa majina naitwa Mikel lesta kiukweli utumishi katika upande wa ajira wapo hovyo sana nafikiri wanaofanya kazi hapo wanajisahau sanaa, nitatoa mifano mitatu na nitashauri kitu na sitoishia huku nitawafata katika page zao za kijamii pia ila kiukweli wanatuumiza sana sisi watu wa chini.

OK ipo hivi, mimi nimeangalia Sana matokeo yao ya mchujo yanavyotoka huwa wanaaanza kuchukuwa aliyefaulu zaidi, huu ni mfumo wa kizamani na uliojaa rushwa sana. Kama serikali ilipaswa iweke standard marks example 60/100 utakuwa listed katika oral hii itasaidia walau kutoka kutoka katika 35% ya ufaulu wasio na connection kuliko eti tunaanza kuchukuwa 80%,70%.

Hii ukweli ni kwamba kuna watu wanakuwa na paper before wakifanya hivo hakika viongozi watagundua vitu vingi sanaaa hii sector imejaa rushwa sana inaitaji uangalizi wa hali ya juu.
 
Maswali yako wala uhitaji kujibiwa na mtu, Bali kitabu cha muongozo, cha utumishi kinaweza kukujibu.

Nakushauri tafuta hicho kitabu/ pdf kitakusaidia kupunguza hizo hasira.

Mule wameandika kabisa cut off points ni ngapi, na ikitokea changamoto ya matokeo mabaya kwa wasailiwa, wanatakiwa kufanya nn
 
Swali: Kama post inahitaji mtu mmoja halafu mkaomba watu jumla 500 na wote mna sifa. Utachambuaje mwenye sifa zaidi?

Ukisema utawapa mtihani kuwachuja, watu zaidi ya mia wakapata marks kuanzia 80 hadi 95. Je utafanyaje tena kuchuja pale? au utawaita wote ukawafanyie oral?
 
Kikubwa nenda ukiwa umesoma mkuu na unaijua fani yako.. 90+ plus utapata
 
Maswali yako wala uhitaji kujibiwa na mtu, Bali kitabu cha muongozo, cha utumishi kinaweza kukujibu.

Nakushauri tafuta hicho kitabu/ pdf kitakusaidia kupunguza hizo hasira.

Mule wameandika kabisa cut off points ni ngapi, na ikitokea changamoto ya matokeo mabaya kwa wasailiwa, wanatakiwa kufanya nn
Mm nimeongea kwa kuangaria matokeo yanavyotoka hizo cuoff points unazozingumzia uhawai ona zinafuatwa kwa usahihi? Na je ufaulu wa watu ndo una determine cut off point? Kuna vitu tukiwa tunachangia mada tusiwe wabinafsi wwngi wenu mnaongelea ubinafsi tqngu lini utumishi waka angalia cutt off point? Na he unahisi kuna mtihani utakaokosa ufaulu?
 
Maswali yako wala uhitaji kujibiwa na mtu, Bali kitabu cha muongozo, cha utumishi kinaweza kukujibu.

Nakushauri tafuta hicho kitabu/ pdf kitakusaidia kupunguza hizo hasira.

Mule wameandika kabisa cut off points ni ngapi, na ikitokea changamoto ya matokeo mabaya kwa wasailiwa, wanatakiwa kufanya nn
Mm nimeongea kwa kuangaria matokeo yanavyotoka hizo cuoff points unazozingumzia uhawai ona zinafuatwa kwa usahihi? Na je ufaulu wa watu ndo una determine cut off point? Kuna vitu tukiwa tunachangia mada tusiwe wabinafsi wwngi wenu mnaongelea ubinafsi tqngu lini utumishi waka angalia cutt off point? Na he unahisi kuna mtihani utakaokosa ufaulu?
Kikubwa nenda ukiwa umesoma mkuu na unaijua fani yako.. 90+ plus utapata
Haisaidii tuongee ukweli interview sio upo chuoni au darasani kupata 90% ndo kuwa shortlisted kwwnye oral huo ni mfumo uliopitwa na wakati
 
Mzee amini usiamini oral huwa haingopi endapo kukiwa na usimamizi usahihi kazi yao no kuchuja watahiniwa weka standard marks let's say 50% hata kama ni woote Waite hata kwa awamu kuliko eti nafasi 1 unaanzakuchukwa waliopata 80% unachukuwa watu 4 hahaha wengi mnaaamini uwezo ila interview haipo vivo fatilia interview zinavyofanywa katika tasisi zilizoendelea
Swali: Kama post inahitaji mtu mmoja halafu mkaomba watu jumla 500 na wote mna sifa. Utachambuaje mwenye sifa zaidi?

Ukisema utawapa mtihani kuwachuja, watu zaidi ya mia wakapata marks kuanzia 80 hadi 95. Je utafanyaje tena kuchuja pale? au utawaita wote ukawafanyie oral?
 
Mm nimeongea kwa kuangaria matokeo yanavyotoka hizo cuoff points unazozingumzia uhawai ona zinafuatwa kwa usahihi? Na je ufaulu wa watu ndo una determine cut off point? Kuna vitu tukiwa tunachangia mada tusiwe wabinafsi wwngi wenu mnaongelea ubinafsi tqngu lini utumishi waka angalia cutt off point? Na he unahisi kuna mtihani utakaokosa ufaulu?

Haisaidii tuongee ukweli interview sio upo chuoni au darasani kupata 90% ndo kuwa shortlisted kwwnye oral huo ni mfumo uliopitwa na wakati
Usitumie hisia zako binafsi kujudge mambo. Tuongee kwa facts. U

1. Umeshawahi kupitia muongozo wa utumishi?
2. Unajua maana ya cut off points?
3. Unaposema utumishi hawafati cut off points, Nini kimepelekea ww kusema hivi? Attach results zote za written za utumishi, alaf ongea kwa mifano.
4. Selected candidates for written wakiwa, let say 200. Niambie utatumia means gani kuchuja watu wa oral?

Nasubiria majibu
 
Usitumie hisia zako binafsi kujudge mambo. Tuongee kwa facts. U

1. Umeshawahi kupitia muongozo wa utumishi?
2. Unajua maana ya cut off points?
3. Unaposema utumishi hawafati cut off points, Nini kimepelekea ww kusema hivi? Attach results zote za written za utumishi, alaf ongea kwa mifano.
4. Selected candidates for written wakiwa, let say 200. Niambie utatumia means gani kuchuja watu wa oral?

Nasubiria majibu
Safi sana ngoja nikupe facts siku zote tambuwa kwamba siyo kila protocol ni sahihi ndo maana nimekuja hapa kiwafunguwa ubongo au maarifa kwanza kigezo cha ufaulu kwa wingi hiko siyo kigezo sawa arafu mm nimesema kwamba inatakiwa waweke standard marks katika interview ili iweze kuleta usawa katika matokeo kwa maana wew unayepata 99% kwa means unayoijuwa wew na mtu anayepata 50% wote muende oral zen huko mchujo ufatiliwe kwa umakini hakika watu wa chini kidoogo watapata nafasi sasa unaposema cut off point mm nakukatalia maana eti mtu akipata 99% huyo ni wa kwanza wanaanza kuchukuwa 80% kisa wa kwanza ameongoza kwa 99% ni wizi mtupu ukisema wingi wa watu so wanavoita watu 1000 writen? Iyo ni kazi yao na kila mtu ana haki ya kuwa selected usingumzie wingi wa watu zungumzia usawa sijui kama umenielewa
 
Maswali yako wala uhitaji kujibiwa na mtu, Bali kitabu cha muongozo, cha utumishi kinaweza kukujibu.

Nakushauri tafuta hicho kitabu/ pdf kitakusaidia kupunguza hizo hasira.

Mule wameandika kabisa cut off points ni ngapi, na ikitokea changamoto ya matokeo mabaya kwa wasailiwa, wanatakiwa kufanya nn
Sijajua pa kukipata hicho kitabu... em tusaidie kumjibu kijana kupitia huo mwongozo.. kama ulikisoma
 
Safi sana ngoja nikupe facts siku zote tambuwa kwamba siyo kila protocol ni sahihi ndo maana nimekuja hapa kiwafunguwa ubongo au maarifa kwanza kigezo cha ufaulu kwa wingi hiko siyo kigezo sawa arafu mm nimesema kwamba inatakiwa waweke standard marks katika interview ili iweze kuleta usawa katika matokeo kwa maana wew unayepata 99% kwa means unayoijuwa wew na mtu anayepata 50% wote muende oral zen huko mchujo ufatiliwe kwa umakini hakika watu wa chini kidoogo watapata nafasi sasa unaposema cut off point mm nakukatalia maana eti mtu akipata 99% huyo ni wa kwanza wanaanza kuchukuwa 80% kisa wa kwanza ameongoza kwa 99% ni wizi mtupu ukisema wingi wa watu so wanavoita watu 1000 writen? Iyo ni kazi yao na kila mtu ana haki ya kuwa selected usingumzie wingi wa watu zungumzia usawa sijui kama umenielewa
Kiukweli sijakuelewa. Nashindwa kujua, Mimi ndio mgumu kuelewa au wewe ndio haueleweki. Hebu twende taratibu, alaf andika kwa vituo na mpangilio ili kuweka urahisi wa maandishi yako kueleweka.

Weka hoja zako kwa mpangilio, kuanzia ya Kwanza hadi ya mwisho. Na Mimi nitakujibu kwa mpangilio huo pia.
 
Kwa majina naitwa Mikel lesta kiukweli utumishi katika upande wa ajira wapo hovyo sana nafikiri wanaofanya kazi hapo wanajisahau sanaa, nitatoa mifano mitatu na nitashauri kitu na sitoishia huku nitawafata katika page zao za kijamii pia ila kiukweli wanatuumiza sana sisi watu wa chini.

OK ipo hivi mimi nimeangalia Sana matokeo yao ya mchujo yanavyotoka huwa wanaaanza kuchukuwa aliyefaulu zaidi, huu ni mfumo wa kizamani na uliojaa rushwa sana. Kama serikali ilipaswa iweke standard marks example 60/100 utakuwa listed katika oral hii itasaidia walau kutoka kutoka katika 35% ya ufaulu wasio na connection kuliko eti tunaanza kuchukuwa 80%,70%.

Hii ukweli ni kwamba kuna watu wanakuwa na paper before wakifanya hivo hakika viongozi watagundua vitu vingi sanaaa hii sector imejaa rushwa sana inaitaji uangalizi wa hali ya juu.
Specificaly kwenye marks mimi naon utumishi wako sawa haiwezeken nafasi moja halafu 50 to above mko 200 wote muitwe oral inakua ni usumbufu, ndio mana ukienda kwenye written inabd ujipinde upate alama nyingi ili ujihakikishie ubingwa na wew!
 
Back
Top Bottom