Ajira za Utumishi ziweke 'standard marks' kwenye usaili wa kuandika

Ajira za Utumishi ziweke 'standard marks' kwenye usaili wa kuandika

Topic is not about jobless topic is about to remove the weakness and to make improvement sasa izo za jobless ayo ni majivuno tu arafu humjui exactly nani unayejivunia kwake so be normal and stay low key focus direct to the topic
Mkuu unachanganya kiswa-english halafu KISWAHILI hujui.. eti arafu..!!! Tumia lugha moja basi ueleweke
 
1. Soma kwanza hizi kanuni
2. Ukiitwa Interview za Utumishi Soma sana.
3. Kaa karibu na watu wanaosaka ajira hii itakusaidia kujua trends ya maswali ya utumishi kwa wakati husika. Hapa jamii forums kuna uzi fuatilia
4. Acha kulalamika na kutafuta sababu ili kuhalalisha uzembe na uvivu wako.
5. Muombe Mungu akusaidie.
6. Usikate tamaa
7. Rudia kusoma namba 6.
8. Rudia kusoma namba 3
9. Kama hutaki kuelewa haya baki na huo msimamo wako tusisumbuane
 

Attachments

Ungekuwa karibu ningekuwamba Kofi so iyo system wew unaiona better? And there is no any weakness?
Punguza makasiriko weka hoja mezani utumishi wana weakness zao katika recruitment process na wanahitaji maoni kama hayo hilo halipingiki ila katika suala la alama kwa namna flan naona wako sawa wame set benchmark ya kufaulu na hilo linafanyika.wenzio wana calls for oral interview hadi nne.....jitahid upambane upate na wew kuna mambo tupunguze lawama tupambane kulalamika sana hakutokusaidia,,,. Pia nayaheshimu mawazo yako na huu ni mtizamo wangu mim
 
Nilipoacha kuamini kama wewe ndipo nilipoanza kubamiza 85 hadi 95 mitihani ya utumishi. Badilisha mindset yako boss.
 
Pepa huwa zinatoka, nilienda interview taasis fulani (chuo na hosiutal )nikakutana na majority of the applicants ni product ya pale, wanajuana na ma PS na pia ma interviewer, maana ndo wameishi nao kwa miaka zaidi ya 5, so ni kana walipewa pepa before maana walikuwa busy wanajusomea
1/. What is reseearch
2. Ethical ussues to considers before research
3. What is cancer
4/ what are the five kingdoms of organism?

Sasa mi na jamaa yangu (from diffeent taasis) tukawa tunashangaa, vip hawa unajisomeaje interview? Basi tukawa busy tu kupiga story za zamani from A-level to University

Baba mda wa written ukafika, madude yote yalikuwemo, na mengine yakawepo kwente oral

Ila kwa kuwa unyama mwingi tulikuwa nao, ile pepa niliifumua sana, niliongoza both oral and written. God is great.

Kwahiyo la pepa kuvuja lipo hasa mnapokuwa na watoto wa wakubwa katk interview.
 
Pepa huwa zinatoka, nilienda interview taasis fulani (chuo na hosiutal )nikakutana na majority of the applicants ni product ya pale, wanajuana na ma PS na pia ma interviewer, maana ndo wameishi nao kwa miaka zaidi ya 5, so ni kana walipewa pepa before maana walikuwa busy wanajusomea
1/. What is reseearch
2. Ethical ussues to considers before research
3. What is cancer
4/ what are the five kingdoms of organism?

Sasa mi na jamaa yangu (from diffeent taasis) tukawa tunashangaa, vip hawa unajisomeaje interview? Basi tukawa busy tu kupiga story za zamani from A-level to University

Baba mda wa written ukafika, madude yote yalikuwemo, na mengine yakawepo kwente oral

Ila kwa kuwa unyama mwingi tulikuwa nao, ile pepa niliifumua sana, niliongoza both oral and written. God is great.

Kwahiyo la pepa kuvuja lipo hasa mnapokuwa na watoto wa wakubwa katk interview.
Kipanga ulikuwa unawazoom I like you confidence.
 
Nilipoacha kuamini kama wewe ndipo nilipoanza kubamiza 85 hadi 95 mitihani ya utumishi. Badilisha mindset yako boss.
Unaongea uongo mtupu ili tu uonekane mjuaji kupiga 95 au 85 ndo nini yaan topic about standardization wew unaongea kubusu kupiga 95 au 85 kwanza mpka hapo tu Ku reflect mada unashindwa utaweza kupata 95
 
Pepa huwa zinatoka, nilienda interview taasis fulani (chuo na hosiutal )nikakutana na majority of the applicants ni product ya pale, wanajuana na ma PS na pia ma interviewer, maana ndo wameishi nao kwa miaka zaidi ya 5, so ni kana walipewa pepa before maana walikuwa busy wanajusomea
1/. What is reseearch
2. Ethical ussues to considers before research
3. What is cancer
4/ what are the five kingdoms of organism?

Sasa mi na jamaa yangu (from diffeent taasis) tukawa tunashangaa, vip hawa unajisomeaje interview? Basi tukawa busy tu kupiga story za zamani from A-level to University

Baba mda wa written ukafika, madude yote yalikuwemo, na mengine yakawepo kwente oral

Ila kwa kuwa unyama mwingi tulikuwa nao, ile pepa niliifumua sana, niliongoza both oral and written. God is great.

Kwahiyo la pepa kuvuja lipo hasa mnapokuwa na watoto wa wakubwa katk interview.
Mkuu ulijuaje kama umeongoza oral,kwani huwa wanatoa marks za oral kweli?? Usitupige chai bila sukari hapa😃
 
Mkuu ulijuaje kama umeongoza oral,kwani huwa wanatoa marks za oral kweli?? Usitupige chai bila sukari hapa[emoji2]

Labda order ya majina ya kuitwa kazini. As in aliyeongoza jina lake linakaa juu na kuendelea
 
Back
Top Bottom